Nahitaji kununua stationery

Nahitaji kununua stationery

shalet

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2013
Posts
3,441
Reaction score
3,612
husika na kichwa cha habari hapo juu nahitaji kununua steshrnari iliyokuwa tayari ina operate.

Mahitaji.
iwe eneo zuri la kibiashara jiran na shule au vyuo au maofisi.
bei tutajumlishiana vifaa pamoja na mashune zilizomo
kwa ajili tayari tuwasiliane pm akitaja thamani ya ofisi pamoja na sababu za kuiuza eneo la ofisi ilipo na picha kama utaweza kuituma.
hayo yote yafanyike pm
ahsanten karibuni.
 
Bado nawasubiri wadau karibuni.
 
Back
Top Bottom