Nahitaji kununua powertiller (kubota)

Nahitaji kununua powertiller (kubota)

mc1886

Member
Joined
Feb 6, 2013
Posts
33
Reaction score
0
Natumai humu ndani nyote hamjambo. Poleni na majukumu.
Nahitaji kujua gharama za powertiller aina ya kubota naweza pata wapi hapa Dar na price zikoje.
Yeyote mwenye kujua tafadhari naomba unijuze. kama unauza niPM namba yako ili tufanye biashara.
asante.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom