Tetesi?
ninayo RAV4 milango5 kwa tsh7.5mil tuu kama unahitaji tuwasiliane
Neenda kwenye mtandao wa "be forward" una magari ya bei nzuri. Angalia gharama unaweza pata kwa that money yani ikijumlisha na gharama za usafirishaji.check kwanza huo mtandao.all the best
Mkubwa weka na picha basi ili kama inalipa niifukuzie!
nimecheka kinoma yani ye mwenyewe mnunuzi hajiamini mpaka anasema tetesi.
ninayo rav4 milango5 kwa tsh7.5mil tuu kama unahitaji tuwasiliane