Joeseoc
Member
- Sep 11, 2018
- 65
- 93
Salaam JF,
Katika kukua kwangu, tangu nikiwa mtoto mpaka sasa mtu mzima nimeitazama mara nyingi filamu ya Yesu "Passion of Jesus"
Lakini aliyefasiri maneno katika filamu ile kwa lugha ya Kiswahili natamani sana nimjue, hasa yule aliye nukuu maneno kama Yesu mwenyewe.
Kila nikiitazamaga, maneno na sauti yake huwa kama inajirudiarudia akilini, hakika ana sauti ya kipekee.
Ni nani mtu yule?
Katika kukua kwangu, tangu nikiwa mtoto mpaka sasa mtu mzima nimeitazama mara nyingi filamu ya Yesu "Passion of Jesus"
Lakini aliyefasiri maneno katika filamu ile kwa lugha ya Kiswahili natamani sana nimjue, hasa yule aliye nukuu maneno kama Yesu mwenyewe.
Kila nikiitazamaga, maneno na sauti yake huwa kama inajirudiarudia akilini, hakika ana sauti ya kipekee.
Ni nani mtu yule?