mapundapetro
Member
- Dec 5, 2016
- 38
- 17
Habari zenu ndugu zangu wana Hamiiforum kwanza natanguliza Shukrani kwa kufika siku ya leo.
Husika na mada tajwa hapo juu nafuma vikapu kwa wingi ila sijapata bado soko la kupeleka kuuza kwa jumla wateja walioko ni wa rejareja.
Mwenye kujua soko la vikapu anijuze Au kama kunamteja ambaye anahitaji nimuuzie kwa jumla anakaribishwa pia.
Mawasiliano natumia vodacom
0745299167
View attachment 1596779
Husika na mada tajwa hapo juu nafuma vikapu kwa wingi ila sijapata bado soko la kupeleka kuuza kwa jumla wateja walioko ni wa rejareja.
Mwenye kujua soko la vikapu anijuze Au kama kunamteja ambaye anahitaji nimuuzie kwa jumla anakaribishwa pia.
Mawasiliano natumia vodacom
0745299167
View attachment 1596779