Wadau naomba kujua kuhusu Bima ya Afya, hivi kama mwanangu ana kadi ya NHIF, na akaandika wategemezi wake ni wazazi wake, inapotokea mimi naumwa je nafaidika na hiyo bima? kwa maana ya matibabu.
Naomba majibu ya kistaarabu najua watakuja watu na mapovu yao humu.
Naomba majibu ya kistaarabu najua watakuja watu na mapovu yao humu.