Nahitaji kujua Gharama za printing

Nahitaji kujua Gharama za printing

dtj

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2014
Posts
1,335
Reaction score
1,390
Wanabodi!

Nina mpango wa kuprint jarida (magazine) nahitaji kujua gharama zake zikoje kwa maana ya texture ya karatasi na pia kwa kopi gharama inakuaje!

Nawasilisha.
 
Page ngapi? A4/A3/A5?
Kiasi cha kopi?
 
  • Thanks
Reactions: dtj
Copy walau 4500, A3 QUALITY YA JUU KABISA, FULL COLOUR

Bado hujaeleweka


Hilo jarida lako lina pages ngapi?
Afu Jarida la A3 (mmmmmmmmmh) sema A4
Labda unatania kwenye copy 4500
 
Bado hujaeleweka


Hilo jarida lako lina pages ngapi?
Afu Jarida la A3 (mmmmmmmmmh) sema A4
Labda unatania kwenye copy 4500
Size; A4
Page; 40
Full color
Copy 4500 ( elfu NNE Mia tano)
 
Wanabodi!

Nina mpango wa kuprint jarida (magazine) nahitaji kujua gharama zake zikoje kwa maana ya texture ya karatasi na pia kwa kopi gharama inakuaje!

Nawasilisha.
Tsh 2500/= full color, free delivery kama upo dar es salaam
 
Wanabodi!

Nina mpango wa kuprint jarida (magazine) nahitaji kujua gharama zake zikoje kwa maana ya texture ya karatasi na pia kwa kopi gharama inakuaje!

Nawasilisha.
Habari yako mkuu
 
Lazima ujue haina ya karatasi anayotaka kutumia pia kabla hujampa bei
 
Vizuri ni kama akifika ofisini
Utampa bei afu baadae akakwambia anataka vitabu 100
 
Back
Top Bottom