EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,525
Kwanini umefikia kupima Hormones hakuna vipio vya awali kama sperms za mzee baba kama zinamwendo???
Afu akipata mimba huko nje ambambikie mumewe au?Ushajaribu na huko njee au umekomaa na huyo huyo wakunyumba?
Nisaidie wew kuuliza maana walimwengu hawaishiwi vitukoAfu akipata mimba huko nje ambambikie mumewe au?
Yaani maisha kizungumkuti,me nna mzigo hapa sielewi nifanyeje!? aisee nadata zingekua zinahamishikia walah ningemuhamishia mleta mada bureeeeDaa kweli maisha tumepishana.. Mi siku hiz mpka naogopa kucheza mechi peku!!!!!
Yaan mbegu zangu zimekua na hatar sana akijisahau tu.....nami nikatupia ujue himo..( pregnant).....
Girl wawil wameflash zangu 04:..
.........
Nimetubu sahiv siuz mechi mpka nioe asee:
Tena na mimi ningeupokea bila hiyana....lea mimba yako mwaya watoto ni zawad na kila mtoto anakuja na ridhk yakeYaani maisha kizungumkuti,me nna mzigo hapa sielewi nifanyeje!? aisee nadata zingekua zinahamishikia walah ningemuhamishia mleta mada bureeee
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Yeye alishapata watoto wawili kabla ya kunioa mimiSasa kwanini ukapime tatizo mwenyewe?au yeye anawatoto wa nje
Yeye alishapata watoto wawili kabla ya kunioa mimi
InshaallahUtazaa tu mwaya RELAX unaonekana bado mdogo,maandishi yako yanasema
Umwolewa au una mchumba tu ?Habari wanaJF mimi ni mwanamke ambaye matamanio yangu ni kupata mtoto lakini juhudi zinagonga mwamba sasa nahitaji kujua gharama za kupima hormone kama zipo balance au lah!
Pia na gharama za kupima mirija ya uzazi. Ili nijichange nipime nijue tatizo liko wapi
Natanguliza shukran zangu za dhati
Unasemea kwa doctor mwaka?Umwolewa au una mchumba tu ?
Kama umeolewa basi zitumie zaidi siku za hatari.
Lakini pia mumeo na e akapime mjue tatizo.
Kama wote mumepima jitahidini sana siku ya hatari ile inayotoka ute uke jitahidi huyo mume akuingilie huku akiwa amepumzika yaani hajatoa shahawa zake kwa muda usiopungua siku mbili mpaka tatu.
Yaani goli likitoka liwe na afya njema.
Nakushauri usiende kupima mirija kwanza ni kipimo kna maumivu jao sio ya kawaida.
JE NDOA YAKO INA MUDA GANI ?
Mana kuna wengine wamekaa mwaka tu miaka miwili mitatu wanalialiaatleast ukae kuanzia miaka minne unaweza kuwaza kupima mirija(haya ni maoni yangu usiyazingatie saana)
Wakati mwingine ni error ndogo ndogo zinaweza pelekea mtu asipate ujauzito.
Wrror hizo zinaweza sababishwa na mke au mume.
Pengine mnakutana siku salama au siku za hatari ambazo mume pengine anatoa sperm ambazo hazidumu muda mrefu hivyo hupelekea kusigana kwa yai n.k
Nenda ilala afya centre pale ipo ilala hyo hospitali kuna daktari wa uzazi pale hssa wanawake jina limenitoka kidogo.
Lakini wana gharama kidogo
Sio huyo bhana.Unasemea kwa doctor mwaka?
Ah sawa nielekeze vizuri naweza kwenda hapoSio huyo bhana.
Hapo panaitwa ilala afya centre kuna dokta mmoja wa kike mtu mzima hivi
Ah sawa nielekeze vizuri naweza kwenda hapo
Okay nimeshapajua...shukraniSio huyo bhana.
Hapo panaitwa ilala afya centre kuna dokta mmoja wa kike mtu mzima hivi
Nakushauri nenda AICC hospital Arusha kuna daktari Dr. Kivuyo anasifika sanaa kwa mambo ya uzazi na pia ni msaada kwa wanawake wengi mnooHabari wanaJF mimi ni mwanamke ambaye matamanio yangu ni kupata mtoto lakini juhudi zinagonga mwamba sasa nahitaji kujua gharama za kupima hormone kama zipo balance au lah!
Pia na gharama za kupima mirija ya uzazi. Ili nijichange nipime nijue tatizo liko wapi
Natanguliza shukran zangu za dhati