Nahitaji kujua gharama za kupima hormone

second lady

Member
Mar 24, 2021
43
19
Habari wanaJF mimi ni mwanamke ambaye matamanio yangu ni kupata mtoto lakini juhudi zinagonga mwamba sasa nahitaji kujua gharama za kupima hormone kama zipo balance au lah!

Pia na gharama za kupima mirija ya uzazi. Ili nijichange nipime nijue tatizo liko wapi

Natanguliza shukran zangu za dhati
 
Ukikosa msaada hapa, tafuta hospital ya karibu kaongee na doctor atakupa msaada, pole sana
 
Habari wanaJF mimi ni mwanamke ambaye matamanio yangu ni kupata mtoto lakini juhudi zinagonga mwamba sasa nahitaji kujua gharama za kupima hormone kama zipo balance au lah!

Pia na gharama za kupima mirija ya uzazi. Ili nijichange nipime nijue tatizo liko wapi

Natanguliza shukran zangu za dhati
sidhani kama ni bei sana, tulienda kairuki na wife gharama za vipimo vyote yeye na mimi havijazidi hata 500,000 japo mimi nilitumia bima, mwanamke ndo ana vipimo vingi ila mwanaume ni kipimo kimoja cha sperm analysis tu
 
sidhani kama ni bei sana, tulienda kairuki na wife gharama za vipimo vyote yeye na mimi havijazidi hata 500,000 japo mimi nilitumia bima, mwanamke ndo ana vipimo vingi ila mwanaume ni kipimo kimoja cha sperm analysis tu
Shukran sana ndugu yangu
 
Habari wanaJF mimi ni mwanamke ambaye matamanio yangu ni kupata mtoto lakini juhudi zinagonga mwamba sasa nahitaji kujua gharama za kupima hormone kama zipo balance au lah!

Pia na gharama za kupima mirija ya uzazi. Ili nijichange nipime nijue tatizo liko wapi

Natanguliza shukran zangu za dhati
Inshu ya infertility ina visababishi mbalimbali na kama unahitaji upate kujua source, ni vyema ukajiandaa vizur.
Kwa utangulizi tu , vifuatavyo n baadh tu ya visababishi:
1), Hormonal imbalance, na hasa Kuna hormones za msing kabisa ambazo zitahitajuka kuzichunguza ikiwemo prolactin, estrogen, progesterone na FSH (Ambazo kwa wastan Kila hormone inagharim kat ya elf 30-40)
2) , Uterine fibroid-hiv n vivimbe ambavyo mara kadhaa huota kwenye mji wa uzazi, uwepo wa vivimbe hivi kwenye kizaz hua vinaleta changamoto ya kupata ujauzito, kwa hyo imekupasa pia ukafanye abdominal utrasound
3) magonjwa yanayoshambulia mfumo wa kizazi mfn, chronic PID, Syphyllis nk pia yanaweza pelekea changamoto hyo
4) Obesity

Kwa hyo jipe moyo jachunguze, mengine utashauriwa hospitalin, muombe Mungu utafanikiwa,
Kumbuka YASIYOWEZEKANA KWA MWANADAMU, KWA MUNGU YANAWEZEKANA


Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Inshu ya infertility ina visababishi mbalimbali na kama unahitaji upate kujua source, ni vyema ukajiandaa vizur.
Kwa utangulizi tu , vifuatavyo n baadh tu ya visababishi:
1), Hormonal imbalance, na hasa Kuna hormones za msing kabisa ambazo zitahitajuka kuzichunguza ikiwemo prolactin, estrogen, progesterone na FSH (Ambazo kwa wastan Kila hormone inagharim kat ya elf 30-40)
2) , Uterine fibroid-hiv n vivimbe ambavyo mara kadhaa huota kwenye mji wa uzazi, uwepo wa vivimbe hivi kwenye kizaz hua vinaleta changamoto ya kupata ujauzito, kwa hyo imekupasa pia ukafanye abdominal utrasound
3) magonjwa yanayoshambulia mfumo wa kizazi mfn, chronic PID, Syphyllis nk pia yanaweza pelekea changamoto hyo
4) Obesity

Kwa hyo jipe moyo jachunguze, mengine utashauriwa hospitalin, muombe Mungu utafanikiwa,
Kumbuka YASIYOWEZEKANA KWA MWANADAMU, KWA MUNGU YANAWEZEKANA


Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ameen asante sana ndugu yangu
 
Habari wanaJF mimi ni mwanamke ambaye matamanio yangu ni kupata mtoto lakini juhudi zinagonga mwamba sasa nahitaji kujua gharama za kupima hormone kama zipo balance au lah!

Pia na gharama za kupima mirija ya uzazi. Ili nijichange nipime nijue tatizo liko wapi

Natanguliza shukran zangu za dhati
Nadhani hili suala linahitaji stepwise approach, badala ya kwenda moja kwa moja kwenye hormones au kizazi.

Sikilizwa vyema na daktari.
Kwa ujumla bei inategemea na kituo cha afya hasa kwa private shilingi 25,000/= mpaka 40,000/= kwa hormone aina moja.


Tathmini pia ifanyike juu ya uelewa wa siku unayoweza kubeba ujauzito. Unawezakuwa risasi zinatumika hivyo kumbe hazijitoshelezi sana.

Anza na vipimo visivyo na gharama sana kama vinavyomhusu mzazi mwenza/baba.

Kama hakuna shida endelea na vyako.

Wakati mwingine, unaweza kufanya vipimo vingi na ukaishia kujichanganya na faktari pia kupotea njia.

Pata, njia fasaha ya kulikabili hili tatizo na kwa utulivu.
 
Nadhani hili suala linahitaji stepwise approach, badala ya kwenda moja kwa moja kwenye hormones au kizazi.

Sikilizwa vyema na daktari.

Tathmini pia ifanyike juu ya uelewa wa siku unayoweza kubeba ujauzito. Unawezakuwa risasi zinatumika hivyo kumbe hazijitoshelezi sana.

Anza na vipimo visivyo na gharama sana kama vinavyomhusu mzazi mwenza/baba.

Kama hakuna shida endelea na vyako.

Wakati mwingine, unaweza kufanya vipimo vingi na ukaishia kujichanganya na faktari pia kupotea njia.

Pata, njia fasaha ya kulikabili hili tatizo na kwa utulivu.
Asante sana kwa ushauri
 
Daa kweli maisha tumepishana.. Mi siku hiz mpka naogopa kucheza mechi peku!!!!!

Yaan mbegu zangu zimekua na hatar sana akijisahau tu.....nami nikatupia ujue himo..( pregnant).....

Girl wawil wameflash zangu 04:..
.........

Nimetubu sahiv siuz mechi mpka nioe asee:
 
Back
Top Bottom