chiefnyumbanitu
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 906
- 426
Habari za kutwa wana JF,
Naimani nyote wazima wa afya njema,
Lengo la kuandika haya nahitaji kujua bei ya bati ya msauth inanunuliwa bei gani maana zinachanganya naweza nikajikuta nanunua bati ya mchina nikazani ni msouth.
Ni hayo tu natanguliza shukrani kwenu.
Naimani nyote wazima wa afya njema,
Lengo la kuandika haya nahitaji kujua bei ya bati ya msauth inanunuliwa bei gani maana zinachanganya naweza nikajikuta nanunua bati ya mchina nikazani ni msouth.
Ni hayo tu natanguliza shukrani kwenu.