Shindu Namwaka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2014
- 4,911
- 3,084
Serikali ya kibongo sijui ni lini itamthamini mkulima.
Wana JF nimepima zali la kulima ufuta ila nashukuru Mungu anasaidia unaendelea vizuri.
Ila mashaka yangu ni bei tu sijui itakuaje mwaka huu.
Wana JF nimepima zali la kulima ufuta ila nashukuru Mungu anasaidia unaendelea vizuri.
Ila mashaka yangu ni bei tu sijui itakuaje mwaka huu.