Hongera sana mkuu kwa uamuzi sahihi, wakati sahihi, mtu sahihi. Nakushauri uulize tawi la ccm katika eneo unaloishi, yaweza kuwa ofisi ya kata, tawi, wilaya au mkoa, utapata full details, kadi inatolewa na tawi unaloishi au unapofanyia kazi mradi uchague wewe mahali utakapoweza kushiriki vikao.
pili, gharama:
kadi ni tshs 300/=
ada ni tshs 200/= kwa mwezi sawa na Tshs 2,400|= kwa mwaka.
Kuwa ccm ni ufahari, njoo tuijenge nchi.