Nahitaji kujifunza ujasiliamali.....

Nahitaji kujifunza ujasiliamali.....

kensh

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2012
Posts
527
Reaction score
113
Jamani,kaka na dada,mu hali gani? Ndugu zangu,nahitaji sana kupata elimu ya biashara,hasa namna ya kuanzisha biashara na hata kuiendeleza.

Pia nahitaji kujifunza ujasiliamali wa utengenezaji wa bidhaa zisizohitaji mtaji mkubwa ili niweze kukabiliana na hali hii ya maisha.ikiwezekana,nitapenda kupata kundi la wajasiliamali walio siriasi ktk ujasiliamali.

Naomba msaada.
 
Ndugu yangu kama una nia ya dhati, nenda veta utapata kila kitu kuhusu ujasiliamali (ni ushauri tu)
 
Jamani,kaka na dada,mu hali gani? Ndugu zangu,nahitaji sana kupata elimu ya biashara,hasa namna ya kuanzisha biashara na hata kuiendeleza.

Pia nahitaji kujifunza ujasiliamali wa utengenezaji wa bidhaa zisizohitaji mtaji mkubwa ili niweze kukabiliana na hali hii ya maisha.ikiwezekana,nitapenda kupata kundi la wajasiliamali walio siriasi ktk ujasiliamali.

Naomba msaada.

uko mkoa gan
 
Back
Top Bottom