Kitabu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 302
- 26
Wakuu elimu yangu ni kidato cha nne,division (iii)ninania ya kusomea IT,kwa njia ya mtandao(on line)kutokana na nafasi yangu kuwa ndogo kuhudhuria darasani,je nichuo gani ninaweza kujiunga nacho ambacho kinatambulika na serikali.Nadhani ni vema nianze na diploma...!!!