He! ungelikuwa mwanza ningekusaidia, lakini kwa ushauri 2, ni bora ufanye kila uwezavyo ununue wino wa kujaza mwenyewe kwani ni bei na fuu na unatumia kwa muda sana, wakati kujaza hapa mwanza ni elfu kumi Mls 40/50 lita moja ya wino houhuo ni elfu 50000.
Mimi huwa najaziwa fresh Hp 21(black) @Tsh 5000 na Hp 22(tri-color) @10,000 zile tonner ni Tsh 20,000/=
Jamaa wanapatikana maeneo ya Kisutu sema jina la oficce yao limenitoka kidogo.
mia mia mkuu!!!!true kisutu morogoro road kama unelekea baharini........sifahamu jina la duka lakini fanya hivi, anzia hapo stendi ya zamani kisutu chukua barabara kama unaelekea baharini pita kama majengo matano hivi mkono wa kulia kuna duka la wahindi hapohapo............hope itakusaidia
Baada ya cartridge ya mwanzo kuisha, Chukua bomba la sindano, nyonya wino kama mils 40-50 then juu ya hiyo cartridge kwenye lile karatasi lenye nembo ya hp pamoja na number ibandua toka juu kuelekea chini, halafu utaona tundu moja katikati, hapo chomeka sindano then kuwa kama daktari anavyodunga sindano halafu wino utashuka baadaye utaona wino umejaa hapo chomoa sindano, puuliza kidogo kwenye hilo tundu ili wino ushuke na chukua kitambaa angalii chini ya hiyo cartridge kutakuwa na matone ya wino hapo tayari kwa kazi.
Nb. hii ni kwa ajili ya black
- baadhi ya printer specifically hp 2050 na 1050 zinasumbua sana, kiufupi hazifai kwa issue kama hii nakushauri usinunue
Baada ya cartridge ya mwanzo kuisha, Chukua bomba la sindano, nyonya wino kama mils 40-50 then juu ya hiyo cartridge kwenye lile karatasi lenye nembo ya hp pamoja na number ibandua toka juu kuelekea chini, halafu utaona tundu moja katikati, hapo chomeka sindano then kuwa kama daktari anavyodunga sindano halafu wino utashuka baadaye utaona wino umejaa hapo chomoa sindano, puuliza kidogo kwenye hilo tundu ili wino ushuke na chukua kitambaa angalii chini ya hiyo cartridge kutakuwa na matone ya wino hapo tayari kwa kazi.
Nb. hii ni kwa ajili ya black
- baadhi ya printer specifically hp 2050 na 1050 zinasumbua sana, kiufupi hazifai kwa issue kama hii nakushauri usinunue
hapo sio kwa mod , huwa wanabandika na stiker computerised ink refilers, hapo ndio nilikuwa najaza zamani bora wameshusha bei sasaMimi huwa najaziwa fresh Hp 21(black) @Tsh 5000 na Hp 22(tri-color) @10,000 zile tonner ni Tsh 20,000/=
Jamaa wanapatikana maeneo ya Kisutu sema jina la oficce yao limenitoka kidogo.