habibumbega
Member
- Jan 4, 2014
- 11
- 5
habari zenu. mm ni mwanafunzi nimemaliza form 6 mwaka huu na majibu yametoka nimepata div 1 ya 9 napenda sana kufundisha mathematics physics na chemistry kwahiyo mweny shule au kituo chochote plz anitafute nitamsaidia kwa moyo wote. pia nina expirience ya muda mrefu kwan hata shule nilikua nawasaidia wenzangu. asanteni