DanbyHR
JF-Expert Member
- Sep 30, 2014
- 285
- 388
Hello!! Habari?
Poleni na maangaiko ya siku na huu ugonjwa unaosumbua kwa sasa maeneo mbalimbali ulimwenguni, tafadhari tuhakikishe tunachukua tahadhari na Mungu atulinde na kutuepusha na hili.
Najua business kadhaa au zilizo nyingi zinapitia wakati mgumu kwa sasa katika kuzalisha na kujiendesha. Nimeamua kuja na wazo la kujitolea organization yoyote ile hasa zilizopo hapa Dar es salaam, au karibu na hapa. Nina imani thabiti kupitia elimu niliyonayo (Bachelor's degree of Human Resource Management), skills na experience niliyoipata nitakuwa na positive impacts katika business yako.
Nafasi zilizo ndani ya uwezo wangu ni kama HR, Admin na zingine zinazoelekea na hapo, ila naweza kusaidia hata mambo mengine yasiyohusiana na utawala (HR & Administration). Nina imani uwezo, ujunzi na uzoefu nilio nao ntafanya makubwa kuhakikisha organization ina survive, inajiendesha na kuzalisha kama kawaida.
Location : Dar es salaam.
Santee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Poleni na maangaiko ya siku na huu ugonjwa unaosumbua kwa sasa maeneo mbalimbali ulimwenguni, tafadhari tuhakikishe tunachukua tahadhari na Mungu atulinde na kutuepusha na hili.
Najua business kadhaa au zilizo nyingi zinapitia wakati mgumu kwa sasa katika kuzalisha na kujiendesha. Nimeamua kuja na wazo la kujitolea organization yoyote ile hasa zilizopo hapa Dar es salaam, au karibu na hapa. Nina imani thabiti kupitia elimu niliyonayo (Bachelor's degree of Human Resource Management), skills na experience niliyoipata nitakuwa na positive impacts katika business yako.
Nafasi zilizo ndani ya uwezo wangu ni kama HR, Admin na zingine zinazoelekea na hapo, ila naweza kusaidia hata mambo mengine yasiyohusiana na utawala (HR & Administration). Nina imani uwezo, ujunzi na uzoefu nilio nao ntafanya makubwa kuhakikisha organization ina survive, inajiendesha na kuzalisha kama kawaida.
Location : Dar es salaam.
Santee.
Sent using Jamii Forums mobile app