Nahitaji kufahamu

Nahitaji kufahamu

jem_the_great

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2013
Posts
289
Reaction score
158
Habar zenu wana jamvi?nahitaj kujua hivi kuna ubaya mwanaume ukiishiwa fedha kuomba msaada kwa girlfriend wako??
 
usifanye kosa hilo kijana wangu....ataenda waambia mafrend wake bana. wee kaombe kwa marafiki zako
 
Hakuna ubaya.... ila hakikisha umezidiwa kweli kweli Mkuu!! Ila usijenge mazoea na kubweteka kwavile mamaa yupo njema.
 
siyo kesi mkuu, majuzi nilimwomba manzi wangu kiasi fulani cha fedha akanisaidia bila kusita na akaniuliza ''kiasi ulichoomba kitakutosha mpenzi??'' nikamjibu ndiyo maana kilinitosha kabisa kutatua hitaji langu!!!
 
Ngoja uje uanzishiwe libango hapa! "Nimemnyima mpenzi wangu hela" hahaha loh! Ni mtazamo tuu!!
 
siyo kesi mkuu, majuzi nilimwomba manzi wangu kiasi fulani cha fedha akanisaidia bila kusita na akaniuliza ''kiasi ulichoomba kitakutosha mpenzi??'' nikamjibu ndiyo maana kilinitosha kabisa kutatua hitaji langu!!!

usizoee!!!
 
Jenga mazingiar aone yeye mwenyewe haja ya kukupatia pesa na sio wewe uanze kulalamika na kudai akupe pesa, ukishakubali hilo basi jiandae kukubali na mambo mengine hapo baadae
 
Ila wazungu wanasema "love doesnot mean to give but to share"!!!
 
Inatemea mkataba wenu wa mwanzo ulikuwaje...kama ni ule wa Chake=chake, chako=chenu hapo utaishia kusonywa.
 
ubaya wa nini hapo?? hakuna ubaya kama anayo iyo hela unayotaka kumwomba, ila utakuwa wa ajabu ukimwomba kiwango cha hela ambacho wewe mwenyewe unajua kuwa hawez kukipata au hana..............
 
Ila wazungu wanasema "love doesnot mean to give but to share"!!!

sure! kwa wapendanao si vibaya ku-share kila kitu including resources, tatizo lililopo ni pale mwenye uwezo kifedha (aweza kuwa mwanaume au mwanamke) kum-teat mwenzi wake vibaya, kutaka kuabudiwa, kumdharau nk. 'love' ni zaidi ya fedha au mali japo ikiwepo na ikatumika vizuri itageuka kuwa kiungo muhimu katika kuchagiza malavidavi, kinyume chake ni laana na uharibifu..,,
 
natamani niseme lkn ntashambuliwa,,,, kijana mara moja tu usizoee
 
Back
Top Bottom