Nahitaji kuchukua mkopo wa miaka minne niwekeze kwenye cryptocurrency

King gorani

Member
Oct 30, 2020
21
8
Habari zenu wanajamvi,

Mm ni mmojawapo wa watumiaji na wawekezaji wa sarafu za mtandao (cryptocurrency) pia ni mwajiliwa wa taasisi fulani, katika kipindi hiki cha bullish naona sarafu zinapanda sana na mimi sina mtaji wa kununulia.

Ila nilikuwa nina wazo moja nahitaji nikachukue nkopo wa miaka minne niwekeze kwenye sarafu ili pale zitakapopanda tu naenda bank na kulipa pesa yao, je mnaonaje hilo wazo wadau nipo sawa au napote, ushaur wenu please.
 
Habari zenu wanajamvi,

Mm ni mmojawapo wa watumiaji na wawekezaji wa sarafu za mtandao( cryptocurrency) pia ni mwajiliwa wa taasisi fulani, katika kipindi hiki cha bullish naona sarafu zinapanda sana na mimi sina mtaji wa kununulia.

Ila nilikuwa nina wazo moja nahitaji nikachukue nkopo wa miaka minne niwekeze kwenye sarafu ili pale zitakapopanda tu naenda bank na kulipa pesa yao, je mnaonaje hilo wazo wadau nipo sawa au napote, ushaur wenu please
Invest money that u can afford to lose!
 
Hujakosea kuwaza hivyo mkuu King gorani .. na umefanya heri sana kuuliza kabla hujajitosa.
Tuanzie apo kwenye mkopo, ili mkopo usikudumaze au usikufanye mtumwa nashauri, usikope ili uanzishe biashara, Utakwama unless kama una ujuzi mkubwa wa fedha..
unakopa pale ambapo unaona kabisa unaimudu biashara yako na inaenda vizuri na kuna uhitaji wa kuipanua. Mf.Wateja wamekua wengi.. na utakopa kiwango ambacho hii biashara yako inaweza kulipia rejesho la kila mwez la huo mkopo. Just a note!

Mimi ni mhanga mkubwa wa cryptocurrency na forex, maana i dropped out school for this. And i deeped myself into it for a year and so.. crypto is real and you can make money bro..

ila alot of scummers, kuna coins ambazo they even don't exist, so you better be careful.

Ushauri wangu i. Jifunze trend ya iz crypto.. zina fluctuate sana, know when to buy, when to hold and when to sell ii. Know Safe wallet to store your coins iii. Make sure the currency you buy can be exchanged for bitcoin iv. Don't be a fool enough to work on people's opinion rather work on facts.. utashauriwa sana nunua hii after 2yrs itakua more than $1000. v. chukua ushauri kwa waliofanikiwa kupitia crypto. vi. Epuka HYIP ( google utapata maana yake) mf. MTFE ..iz sio crypto wala fx, Never be bought easily

Binafsi nimeacha hizi online schemes 4yrs ago maana ata nilikua nikipoteza pesa hakuna nilichokua najifunza.. ila tokea nimeingia kitaa kupambania kombe nimejifunza vingi sanaa katika biashara, ata nikipoteza najifunza kitu.. nimeuza ad barafu na nime make alot of money than I did make in crypto and fx..
Lastly, Decide your way and be bold enough to win.
 
Mahauri sahihi ni kichwa chako na maisha yako sabu ww ndo unayajua na kuyaona fanya maamuzi sahihi acha kutafta ushauri

Ukipata faida utakula mwenyewe na familia yako
Lakin pia ukija kubebewa vitu ndan na kuuziwa vtu na bank hasara utapat ww na familia yako

Kwaiyo we fanya vle unaona inafaa
 
A
Mfano mwaka huu mwezi wa8 solana ilikuwa 8$ sahv ina $ 118
Acha ty mi mwenyew najilaumu kila nikikumbuka solana...toka January solana ilkua $ 8-9 sasa hv ety $ 110+...mwaka huuu mwanzon ethereum ilkua $ 999 sasa hv 2300... bitcoin $ 16500-17000 sasa hv $ 43000
Ila ungesubiri zishuke kwanza ndo ununue
 
Kwanza crypto siyo biashara. Biashara ni exchange of values. Una nguo kuna mtu ana shida na nguo anakupa hela una mpa nguo..umetatuta tatizo lake. Kuna mtu ana mandevu mengi na nywele una mnyoa anakupa hela...mna exchange thamani.

Sasa kwenye crypto una exchange thamani gani na nani?

Hizi crypto zinaanza kidogo kidogo...baadae wanapandisha thamani then nyie mnadhani demand ni kubwa mnakimbilia kununua kumbe hakuna demand yoyote. Mara pap wanazima server wana lala mbele.
Pili, mikopo ya bank unalipa kila mwezi. Hauwezi ku hold pesa ya bank mwaka mzima ndo ulipe. Unakopa leo, mwezi ujao unaanza kulipa deni kidogo kidogo. Je utatoa wapi hizo hela za kulipa deni wakati pesa uliyokopa haizinguki..yaani ume mkabidhi mtu akushikie hoping that thamani yake itaongezeka. Hivyo utashindwa kulipa mkopo.

Mwisho binafsi nimeona watu wengi sana wamejitumbukiza kwenye crypto na forex na aijawahi kuona hata mmoja amefanikiwa.
 
Habari zenu wanajamvi,

Mm ni mmojawapo wa watumiaji na wawekezaji wa sarafu za mtandao( cryptocurrency) pia ni mwajiliwa wa taasisi fulani, katika kipindi hiki cha bullish naona sarafu zinapanda sana na mimi sina mtaji wa kununulia.

Ila nilikuwa nina wazo moja nahitaji nikachukue nkopo wa miaka minne niwekeze kwenye sarafu ili pale zitakapopanda tu naenda bank na kulipa pesa yao, je mnaonaje hilo wazo wadau nipo sawa au napote, ushaur wenu please
Utalia na kusaga meno acha biashara hiyo
 
Kwanza crypto siyo biashara. Biashara ni exchange of values. Una nguo kuna mtu ana shida na nguo anakupa hela una mpa nguo..umetatuta tatizo lake. Kuna mtu ana mandevu mengi na nywele una mnyoa anakupa hela...mna exchange thamani.

Sasa kwenye crypto una exchange thamani gani na nani?

Hizi crypto zinaanza kidogo kidogo...baadae wanapandisha thamani then nyie mnadhani demand ni kubwa mnakimbilia kununua kumbe hakuna demand yoyote. Mara pap wanazima server wana lala mbele.
Pili, mikopo ya bank unalipa kila mwezi. Hauwezi ku hold pesa ya bank mwaka mzima ndo ulipe. Unakopa leo, mwezi ujao unaanza kulipa deni kidogo kidogo. Je utatoa wapi hizo hela za kulipa deni wakati pesa uliyokopa haizinguki..yaani ume mkabidhi mtu akushikie hoping that thamani yake itaongezeka. Hivyo utashindwa kulipa mkopo.

Mwisho binafsi nimeona watu wengi sana wamejitumbukiza kwenye crypto na forex na aijawahi kuona hata mmoja amefanikiwa.
Jamaa ni muajiriwa so sidhani kama mkopo huo utamuathiri maisha yake
 
Habari zenu wanajamvi,

Mm ni mmojawapo wa watumiaji na wawekezaji wa sarafu za mtandao( cryptocurrency) pia ni mwajiliwa wa taasisi fulani, katika kipindi hiki cha bullish naona sarafu zinapanda sana na mimi sina mtaji wa kununulia.

Ila nilikuwa nina wazo moja nahitaji nikachukue nkopo wa miaka minne niwekeze kwenye sarafu ili pale zitakapopanda tu naenda bank na kulipa pesa yao, je mnaonaje hilo wazo wadau nipo sawa au napote, ushaur wenu please
= mwajiriwa

Nakushauri jifundishe kuandika vizuri kwanza
 
Si ucheze tu aviator unatoa kwenye odds 1.5 unaweka 1 m Kila raundi,😂😂😂 baada ya raundi kumi una faida ya milioni tano
 
Back
Top Bottom