Wakuu mambo vipi.
Nipo Dar, Kuna Speakers (Passive Speakers) naziagiza kutoka Amazon, so nahitaji kuzitest zitakapofika na ili kufanya hivyo ninahitaji Amplifier.
Amp ni kwa ajili tu ya kutest speakers kama kwa siku 2 hivi.
Sasa Nahitaji mtu anayeweza kuniazima Amp kama kwa hizo siku 2 hivi (Bei ya kuazimana na utaratibu mzima tutaelewana).
Anyone?
Nipo Dar, Kuna Speakers (Passive Speakers) naziagiza kutoka Amazon, so nahitaji kuzitest zitakapofika na ili kufanya hivyo ninahitaji Amplifier.
Amp ni kwa ajili tu ya kutest speakers kama kwa siku 2 hivi.
Sasa Nahitaji mtu anayeweza kuniazima Amp kama kwa hizo siku 2 hivi (Bei ya kuazimana na utaratibu mzima tutaelewana).
Anyone?