Kwa io hua unaambiwa na wanaume wenzako kua wewe ni mzuri?Mkuu Kuna watu ni ma handsome Mimi ni mmoja wao....
Naambiaaga tangu utotoni na saivi NDIO nipo kwenye PICK....
Ningeweka picha hapa sema nikujiletea shida huko mbeleni maana hapa JF ni ILLUSION
Amini Kuna wanaume ambao kama ilivyo kwenye madume ya Ng'ombe,mbuzi, nguruwe,Mbwa, Kuku, Bata Bado wangechagua mbegu Bora za kupanda majike Yao Ili kupata mbegu Bora.....
Soma Biblia, ...Inasema...Joseph was a very handsome man and well- built
Kipusa ni nini Bro?Hujajibu swali, afu unajua maana ya kipusa?
unataka ajiue ndio ufurahi.... mkuu karibu bia SAFARI, utanikumbuka.!Usijaribu kunywa pombe mkuu
Tuishie hapo mkuu maana unakaza FUVUKwa io hua unaambiwa na wanaume wenzako kua wewe ni mzuri?
Misuse of DrugsKuna mzee anapita kitaa akisema hii nyumba yangu ile gari yangu, nikamuuliza umenunua lini hii nyumba na hio gari?. Akasema Pombe nilizokunywa ningekuwa naijengea ningemiliki hii nyumba na hiyo gari. 🤣
Haka ka biere nakaelewa sanaFlying fish, Guinness smooth..
Bila picha kweliiiMkuu Kuna watu ni ma handsome Mimi ni mmoja wao....
Naambiaaga tangu utotoni na saivi NDIO nipo kwenye PICK....
Ningeweka picha hapa sema nikujiletea shida huko mbeleni maana hapa JF ni ILLUSION
Amini Kuna wanaume ambao kama ilivyo kwenye madume ya Ng'ombe,mbuzi, nguruwe,Mbwa, Kuku, Bata Bado wangechagua mbegu Bora za kupanda majike Yao Ili kupata mbegu Bora.....
Anza na double kicknimepitia changamoto nyingi za kimaisha na sasa naona nina stress sana,
Nafikiria kuanza kutumia pombe ili niweze ku-cope na hali hii inayonipelekea kuwa na mawazo sana
nimekuja kwenu,mnisaidie mambo yafuatayo:
01:ni aina gani ya pombe inafaa,hasa kwa mtu anaenza
02:Kutokana na nature ya familia yangu na kazi yangu,ikiwa itajulikana kuwa natumia pombe itawadissapont sana familia yangu na pia itaathiri kazi yangu
Hivo basi nataka kutumia kwa siri nikiwa nimetulia 'gheto'..hivo pombe hiyo ni lazima iwe take-away
Lakini pia uchumi wangu sio mzuri,naomba pombe hiyo iwe 'cheap in terms of cost' let say iwe less than 5000 per bottle
Naomba jina la pombe ambayo ina-meet above conditions
Nawasilisha,umri middle 20's
Mkuu umeongea point sana, sana.Kijana
Sikushauri kunywa pombe na zaidi tafuta starehe nyingine pombe kama huna hela nzuri utaishia kwenye madeni .
Pombe usipoweza kujidhibiti utakuwa na magonjwa ya zinaa kila uchwao .
Pombe ukiendekeza utafeli mipango ya maisha
Mwisho pombe ni uraibu mbaya kuacha sio rahisi .
Siongei nikiwa nyumbani naongea nikiwa bar nakunywa pombe kwa hela yangu ila sitamani uje huku .
Nilianza kunywa pombe nikiwa na miaka 14 , sasa mimi kwa maelezo yako ni baba yako , nilitamani kuacha nikiwa na miaka 29 sijafanikiwa mpaka sasa na uzee huu .
Pombe imenipunguzia heshima kwa jamii kubwa iliyodhani mimi ni mtu wa heshima kwa elimu yangu na kazi yangu .
Pombe imenipunguzia ufanisi kazini , pombe imepelekea sasa nina gonjwa lisilotibika japo lipo katika early stage hivyo naweza kupambana kupona nikiamua .
Pombe imenifanya vitu vingi kuamuliwa na ndugu na mke hata kama kitu naona naweza kuamua mwenyewe lakini bado naamuliwa kwa nguvu .
Ndugu sikushauri kunywa pombe , watakuja vijana sio muda watasema nakunywa matuputapu wambie sijaanza kunywa pombe Tanzania hivyo wakumbushe nje hakuna mataputapu .
Usinywe pombe .
Kwasasa Mbeya pazuri .
Kipusa ni Binti mremboKipusa ni nini Bro?
Mkuu nikutumie pm uje utoe ushuhuda....Bila picha kweliii
Nitumie bwana pm maisha ndio hayahayaMkuu nikutumie pm uje utoe ushuhuda....
Haya maisha still nayadai mengi.....siku Moja mje mseme Huyu am 4 real mbunge alikua anatukana humu Jf [emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23]
Ruge alisema tuogope technologies
Alikua anachangia Uzi wa kimasiala..........
Hapana Kwa kweli
Ushuhuda muhimuNitumie bwana pm maisha ndio hayahaya
[emoji1787] ushuhuda niwaambie wakina nani sasa nikiona mwenyewe nitakupa sifa unazosemaUshuhuda muhimu
Neno Kipusa lina maana nyingi...depends na mazingira ya kibantu unayoishi...Kipusa ni Binti mrembo
Alikiba mwenyewe aliimba 'wananiita kipusa'
Wabongo insta wakalala nae mbele