Nahitaji kuacha kunywa pombe

Wengi wanakunywa Pombe kwasababu ya Umaskini.

Nliwahi kushuhudia Jamaa yangu Mmoja ni Mlevi Mbwa yule anakwenda Bar/Lounge na Buku 2 lakini anarudi Asubuhi chakali anakwambia nimekunywa sana hata sikumbuki Idadi. Lakini baada ya kuahidiwa Kazi na Sharti ilikua asinywe... Sasa ameacha na ana familia ya watoto wawili tena Mchungaji Msaidizi Kanisani sasa akiwa anaelezea historia yake ya nyuma, Utaipenda.

Kila mnywaji kuna 'KITU' anahitaji na wengi ni kuondoa STRESS & DEPRESSION hasa katika kipindi hiki cha 'Inflation' wengi wamejikuta wameanza kunywa bila kutarajia hasa Mapombe Makali.

Imagine Mdada anakunywa SUNGURA SMART GIN dry. buku2tu. 37%ALV
 
Hapakuwa na ulazima wa kuweka hizo bendera


Ila andiko lako nimelipenda umeeleza vizuri mwenyewe nimejifunza
 
Wazee wa mirinda nyeusi ni wanafiki balaaa

Pombe sio mbaya hata siku moja kosa lenu ni "too much is harmful"
 
Walokole wasiokunywa mbona wamepigika kuliko wanaokunywa
 
Pombe haina shida ukinywa kiasi.. kwa week unatenga siku moja ya kunywa pombe na marafiki zako...

Kila kitu ukikifanya kwa kiasi kinaleta afya.. na kitu chochote ukikifanya kwa kupindukia inakuletea matatizo kwenye familia yako na maisha yako kiujumla..

Kunywa soda sanaa au juice tatizo hilo, kusali sanaa na kusahau kazi ni tatizo hilo hela zako atakula zote nabii...

Kila kitu afanye kwa kiasi

Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
 
Umeongea point sana mkuu, ndege joni chukua hii itakusaidia
 
Kila mtu na style yake, mimi niliacha nikawa kama wewe usiku maluweluwe. Nikinunua valium nikameza wiki moja nikasahau pombe na Napata usingizi saafi. Mwaka wa 20 sasa. Ebu jaribu labda itakusaidia.
 
Sasa ukiacha, atakunywa nani? Huoni serikali itakosa mapato! Kunywa bhana ili uchangamshe akili, na pia ujenge uchumi wa nchi yako.
 
Mkuu hata mimi nilikuwa kama wewe. Nikajiuliza hivi nitamtesa mtoto wa watu(wife', mpaka lini,nikatafakuurii!. Nikajikana. I damned myself And stopped. Amua tu ndugu,bora mapema kabla ya kuanza kuvuna majanga
 
Asante sana kwa ushauri mkuu
 
Shida pombe mnaifanya chakula. Binafsi nakunywa sana pombe tena sana tu ila haijawahi niendesha nikiwa nakunywa huwa nainjoy sana
 
Ushauri mzuri sana ila nashauri ndugu zake wachonge jeneza ili siku akilewa sana akalala fofofo aamke akiwa kwenye jeneza na hao ndugu zao waekti kama wanalia huku wamevaa nguo nyeusi. Hatarudia tena kunywa kilevi hata pilipili ataiogopa akizan hulewesha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…