nahitaji kua na galfriend ila nashindwa

komredi ngosha

JF-Expert Member
Jan 11, 2011
382
71
salaam jf
Leo nimeamua na mimi kupost hapa kuhusu tatizo la kukosa mwenza mpenzi kwa muda mrefu. Well, nina miaka 26 sasa, niko chuo kikuu mwaka wa 3 nasoma computer engineering. Katika maisha yangu sijawahi kua na galfrnd, nimejaribu mara kadhaa kua nae kila binti ninaemtaka aidha anakua na mtu au havutiwi na mimi na hivyo jibu la hapana nishalizoea. Wanataka tu urafiki wa kawaida, hakuna ambaye anakua yuko tayari kua na mimi. Jambo hilo linaninyima raha sana, nimeanza kuogopa kutongoza na kuna wakati nikiwaona au kusikia watu fulani ni wapenzi nakosa furaha na kujiuliza sana why not me?! Naombeni ushauri wenu.
 
usikose furaha bro,wala usikate tamaa,iko day switi wako utampata,it's just a matter of time.
 
Pole sana kaka, ni hata kama ningekuwa mimi nisingejisikia vizur kwa kutopata girlfriend, wala usikate tamaa kuwa na subira utampata.
 
Tulia dogo upate mchumba uoe utakufa bila kufaidi shule yako, wadem wengi wameungua siku hizi. Sali sana mwombe mungu atakupatia mke swaafi kabisa.
 
Watoto wakike mbona wako wengi.kula kitabu then ukishakamata $$ mwenyewe mbona utakimbia.
 
Wala usiogope kaka ni mda2 ipo dei utampata ila pia Mwombe Mungu umpate aliyemwaminifu na mwenye malengo na ww naamini utampata2 wala usiumie kaka
 
pole sana kaka usikate tamaa endelea kutafuta utapata tuu galfriend coz wapo w wengi saana unakuta mwanaume mmoja ana wanawake watano iweje ww ukose hata mmoja kwa hyo uckate tamaa utafanikiwa tuu.
 
salaam jf
Leo nimeamua na mimi kupost hapa kuhusu tatizo la kukosa mwenza mpenzi kwa muda mrefu. Well, nina miaka 26 sasa, niko chuo kikuu mwaka wa 3 nasoma computer engineering. Katika maisha yangu sijawahi kua na galfrnd, nimejaribu mara kadhaa kua nae kila binti ninaemtaka aidha anakua na mtu au havutiwi na mimi na hivyo jibu la hapana nishalizoea. Wanataka tu urafiki wa kawaida, hakuna ambaye anakua yuko tayari kua na mimi. Jambo hilo linaninyima raha sana, nimeanza kuogopa kutongoza na kuna wakati nikiwaona au kusikia watu fulani ni wapenzi nakosa furaha na kujiuliza sana why not me?! Naombeni ushauri wenu.

Nikiangalia umri wako; naona kuwa hunahaja ya kuwa na wasiwasi wa hayo unayoyafikiria. Bado ni mapema sana. Jihakikishie maisha yako vizuri. Pata kazi na hapo unaweza kufikiria suala la kuoa siyo kuwa na girlfriend. Rafiki wa kike wa kazi gani au unataka wengine wakuone kuwa na wewe si haba. Hilo ukilitekeleza linaweza kukusumbua mambo yakikuchengia maana kuna wazoefu wa kuwa na ma-girlfriend.

Ukiwa na kazi nzuri watajileta wenyewe tu na wewe sasandio uchague. Weka mbele zaidi sala na umwombe Mungu sana akupe mke unayeendana naye si ilimradi mke. Wanawake wengi wanaangalia usalama wa maisha yao ya sasa na ya baadaye; sasa pengine kutoka kwako kwa jinsi ulivyojiwekea misimamo yako wanaona kuwa hutawakidhi haja zao. Kumbuka wanawake wana vigezo vyao vya kuchagua lkn kubwa zaidi ni usalama wa maisha yao pia kama unaintertain mambo fulani fulani kama tutoke zetu- twenzetu bichi----gharama hizo. Unaona!!! Subiri!!!!!!!!!

Mi ningekuwa wewe ningeshukuru sana kwa nafasi hiyo, maana mi walikuwa wananitokea lkn nashindwa kuamua naishia kuharibu. Dunia ya leo ni ya magonjwa sana. Hali ikiwa hivyo hata silaha hukumbuki maana na wewe unajisikia ahaaa! Mi napendwa mie, kesho kifo.

Kwa hiyo kaza buti usome sana na upate kazi yako na sasa utafute mke. Mke wa kuoa hayupo chuoni kwako peke yake, hatuoi elimu au mali unaoa mtu (kwa upendo wake kwako). Wapo wasichana wa vyuo vya chini, kwa hiyo wapo wengi sana ni wewe tu mtu wangu.

Kila la kheri
 
Da Wewe Eng. wa CoET kweli??? Shukuru mungu unavyokataliwa,Kata Nondo Malizia mwaka mmoja huo au unapenda sapu wewe,Pata kazi utawakimbia wewe sasa kama wadau wanavyokwambia,pili kama boss alivyokwambia unawafata matawi ya juu,mimi nakushauri tafuta VIDU(Viwango Duni) au FUSP,lakini kuwa makini vyuoni kuna watoto wa mama Ki.kwe.te(waathirika),Wapo Chuo cha Mwalimu na UDOM na CoET Hapo.....
 
wewe unatongoza ambao sio level zako
ndo maana unakataliwa
hebu shuka chini
anza na akina mama ntilie hivi wa maeneo ya kwenu upate uzoefu.....
Boss jamani mbavu zangu!!!!!!!!!!!! unanichekesha hasa leo,mbona una mpelekea mwenzio huko kwa mama ntilie? ebu mwambie akupe pic yake ili umpe darsa lilotimia mama ntilie anaweza kumkata akasema umri wake mdogo sasa basi akishakutumia pic yake ndio utamwambie nini afanye nakuaminia ww mjuzi wa mambo.
 
Kwa kampany au yale mambo yetu yale? Kama ni yale basi endelea kuvumilia usiwe na haraka subiri NDOA vinginevyo uta frustrate mdogo wangu ukiingia kichwa kichwa!
 
Boss jamani mbavu zangu!!!!!!!!!!!! unanichekesha hasa leo,mbona una mpelekea mwenzio huko kwa mama ntilie? ebu mwambie akupe pic yake ili umpe darsa lilotimia mama ntilie anaweza kumkata akasema umri wake mdogo sasa basi akishakutumia pic yake ndio utamwambie nini afanye nakuaminia ww mjuzi wa mambo.

ha ha haa
wewe bana...
 
<br />
<br />
umeona ee! Huyu msela inaonyesha ni bakhili.

Jamaa inaonekana boom lake hapendi kuligawa kwa watoto! Wengine huwa wakitoka out (au hata kama imetokea mko na dent wa chuo pamoja mnakula msosi) unamlipia! Ikifika wiki mbili tu boom kwishney!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom