Nahitaji Kioo cha ZenFone 5.

Nahitaji Kioo cha ZenFone 5.

fakalava

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2015
Posts
4,459
Reaction score
6,033
Kioo cha simu yangu kimepasuka, nitakipata wapi kwa hapa Dar es salaam?
 
Kiukweli Dar inaweza kuwa ngumu kwa simu za asus. Sisemi haiwezekani ila ukishindwa kupata dar jaribu kuagiza ebay
 
Back
Top Bottom