fakalava JF-Expert Member Joined Jul 16, 2015 Posts 4,459 Reaction score 6,033 Feb 2, 2016 #1 Kioo cha simu yangu kimepasuka, nitakipata wapi kwa hapa Dar es salaam?
mi_mdau JF-Expert Member Joined Oct 29, 2010 Posts 1,171 Reaction score 1,763 Feb 2, 2016 #2 Kiukweli Dar inaweza kuwa ngumu kwa simu za asus. Sisemi haiwezekani ila ukishindwa kupata dar jaribu kuagiza ebay
Kiukweli Dar inaweza kuwa ngumu kwa simu za asus. Sisemi haiwezekani ila ukishindwa kupata dar jaribu kuagiza ebay
fakalava JF-Expert Member Joined Jul 16, 2015 Posts 4,459 Reaction score 6,033 Feb 2, 2016 Thread starter #3 mi_mdau said: Kiukweli Dar inaweza kuwa ngumu kwa simu za asus. Sisemi haiwezekani ila ukishindwa kupata dar jaribu kuagiza ebay Click to expand... Nimekupata Mkuu.
mi_mdau said: Kiukweli Dar inaweza kuwa ngumu kwa simu za asus. Sisemi haiwezekani ila ukishindwa kupata dar jaribu kuagiza ebay Click to expand... Nimekupata Mkuu.