Nahitaji King'amuzi (Decoder) Cha Azam

Nahitaji King'amuzi (Decoder) Cha Azam

Abby The Rider

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2018
Posts
471
Reaction score
750
Wakuu,

Nahitaji hicho King'amuzi Cha Azam, Target yangu ni Used but kikiwa Kipya Ntatabasamu na kukuongezea pesa Nipo Dar es Salaam,
Kiwe katika hali nzuri.

Offer Yangu 70 elfu, ila naweza kukuongezea kulingana hali ya hicho King'amuzi
0776938796.

Karibuni

Update:
Nimepata Tayari King'amuzi cha Azam
 
Wakuu,

Nahitaji hicho King'amuzi Cha Azam, Target yangu ni Used but kikiwa Kipya Ntatabasamu na kukuongezea pesa Nipo Dar es Salaam,
Kiwe katika hali nzuri.

Offer Yangu 70 elfu, ila naweza kukuongezea kulingana hali ya hicho King'amuzi
0776938796.

Karibuni
Ninacho nimenunua mwez wa 11 mwaka jana nipe 100,000

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jana nimenunua full gwamba, ni 140,000 cash money!
Dish+Decoder+Makorombwezo mengine!
Ila uzuri ilikuwa hela ya boya, nkampelekea. Mie changu binafsi nilikwara used 70k kwa ukali.
 
Jana nimenunua full gwamba, ni 140,000 cash money!
Dish+Decoder+Makorombwezo mengine!
Ila uzuri ilikuwa hela ya boya, nkampelekea. Mie changu binafsi nilikwara used 70k kwa ukali.
Hahaha ila mghoshi muhuni wewe nachekaga na maneno yako
 
Jana nimenunua full gwamba, ni 140,000 cash money!
Dish+Decoder+Makorombwezo mengine!
Ila uzuri ilikuwa hela ya boya, nkampelekea. Mie changu binafsi nilikwara used 70k kwa ukali.
Si uniuzie hicho cha zaman
 
Back
Top Bottom