1-Kindau=?View attachment 3414636
Nimefikiria suala la kukodi fremu na kuirekebisha ili kuanzisha biashara yangu ya glosari naona ni gharama, bora kipatikane kindau cha kukodi kama hiko.
Bei zake zikoje, kwa hicho kindau cha chuma na kile cha mbao
Angalia picha inatosha mwalimu wa upe1-Kindau=?
2-Glosari=Grocery?
Kwa hiyo umekubali mimi ni mzee wako ambaye ningependa nielewe maana ya "glosari" ndugu kindau?Angalia picha inatosha mwalimu wa upe
Hicho:-Ni kizuri sana mkuu
Asingeweka picha nisingemuelewa kabisa yaniHicho:-
Kindau=Kiosk
Huwa vinauzwa kuanzia laki 6 na kuendelea, nahitaji cha kukodi.Tusizunguke sana. We unaviuza Tsh ngapi?
Gongo la mbotoUpo wap
Vinaitwa vindau hivyo1-Kindau=?
2-Glosari=Grocery?
Hahaha......nimewaza kama weweTusizunguke sana. We unaviuza Tsh ngapi?
Mkuu kama hicho hakiwezi kuwa chini ya 2M kama kununua.Huwa vinauzwa kuanzia laki 6 na kuendelea, nahitaji cha kukodi.
Kukodi ngapi?Mkuu kama hicho hakiwezi kuwa chini ya 2M kama kununua.
Mabaharia ndiyo wanaelewa ndau ni nini mwamba hapo amegeneralise ila amefafanua pia imeeleweka1-Kindau=?
2-Glosari=Grocery?
Una wazo zuri ila nikushauri utengeneze cha kwako ingawa si bei ndogo hicho unachoita kindau kama unavyofikiri na ukarabati ndani kinaweza zidi 2M .View attachment 3414636
Nimefikiria suala la kukodi fremu na kuirekebisha ili kuanzisha biashara yangu ya glosari naona ni gharama, bora kipatikane kindau cha kukodi kama hiko.
Bei zake zikoje, kwa hicho kindau cha chuma na kile cha mbao
SahihiUna wazo zuri ila nikushauri utengeneze cha kwako ingawa si bei ndogo hicho unachoita kindau kama unavyofikiri na ukarabati ndani kinaweza zidi 2M .
Uzuri wa kutengeneza cha kwako
1.Uta save gharama ya kulipia kila mwezi
2.Ni mali yako unaweza peleka popote kulingana na upepo wa biashara
3.Ni ngumu kupata chenye ukubwa na sifa unazotaka cha kukodi hivyo kwa kutengeneza wewe utapata kitu cha mahitaji yako .
Pesa ya kutengeneza kwa sasa sina ndo mana nataka kukodi kwa muda nikikaa sawa nitatengeneza changu.Una wazo zuri ila nikushauri utengeneze cha kwako ingawa si bei ndogo hicho unachoita kindau kama unavyofikiri na ukarabati ndani kinaweza zidi 2M .
Uzuri wa kutengeneza cha kwako
1.Uta save gharama ya kulipia kila mwezi
2.Ni mali yako unaweza peleka popote kulingana na upepo wa biashara
3.Ni ngumu kupata chenye ukubwa na sifa unazotaka cha kukodi hivyo kwa kutengeneza wewe utapata kitu cha mahitaji yako .