Bongo Contents
Member
- Jan 17, 2024
- 47
- 71
Hello, kama unaujuzi wowote wa Maswala ya mtandaoni, au una audience kubwa mtandaoni, mnaonaje tuwe kama watu kumi tufanye jambo. Coz kwenye swala la online earning watu Hua wanaujuzi mbalimbali tofauti tofauti, kingine unaweza pata hiki alafu ukakosa hiki ambacho mwingine anacho na kikubwa zaidi vitu vingi tunaviona ni vigumu coz service nyingi tunajikakamua kulipia wenyewe. Take a look tukiwa kama 10 hivi atafunding kwenye maswala ya marketing na kulipia service inakua chap chap. Kama inarelate kwako na unahitaji info zaidi au kuhusu security just drop a word "RELATE" na nitaku inbox