Nahitaji kazi

Ni specialist kwenye comtuter maintanance & repair in software & hardware!!

Unapokuwa unataka watu wakusaidie kwa jambo flani, ni bora ukatulia na kuandika kwa ufasaha ili uweze kueleweka vizuri.
Binafsi sijakuelewa wewe ni mtaalamu wa nini hasa?
 
Unapokuwa unataka watu wakusaidie kwa jambo flani, ni bora ukatulia na kuandika kwa ufasaha ili uweze kueleweka vizuri.
Binafsi sijakuelewa wewe ni mtaalamu wa nini hasa?

Ana fursa ya ku-edit anyway.Next time awe makini
 
Jamani watanzania mbona tuko hivyo...ina maana hujamuelewa hapo...kwani si amekosea tuu spelling kama basi hata kama hiyo comtuter ambayo computer hukuielewa lakin mbele amefafanua ni mtalaam wa maintanance & repair in software & hardware kama tuna uwezo wa kumsaidia tumsaidie mwenzetu si kuanza maswali utadhani ni jeshini hapa...


edwin all the best nikisikia nitakushutua kaka...naomba ni pm cv yako kwenye personal email...cheers...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom