nashukuru mzima
JF-Expert Member
- Jul 11, 2017
- 1,014
- 1,896
Habari za Siku Viongozi,
Kitaaluma mimi ni Muuguzi na Mkunga niliyehitimu mwaka Huu 2020.
Ninaweza kufanya kazi katika Hospitali ngazi zote, dispensary.mashirika ya afya kuhusiana na research, homebased care , kuuza dawa.
Naombeni msaada wenu nipo Tayari kujitolea kivyovyote vile Nipo Dar es salaam
Sina Leseni ya kazi(Nahitaji kujitolea Tu)
Nje na Fani hii
-Utalaamu wa computer
-collection of Data kwa ajili ya Research
Kitaaluma mimi ni Muuguzi na Mkunga niliyehitimu mwaka Huu 2020.
Ninaweza kufanya kazi katika Hospitali ngazi zote, dispensary.mashirika ya afya kuhusiana na research, homebased care , kuuza dawa.
Naombeni msaada wenu nipo Tayari kujitolea kivyovyote vile Nipo Dar es salaam
Sina Leseni ya kazi(Nahitaji kujitolea Tu)
Nje na Fani hii
-Utalaamu wa computer
-collection of Data kwa ajili ya Research