Nahitaji kanisa lenye miujiza

Nahitaji kanisa lenye miujiza

Ili na yeye ale bata,full kuogelea kwenye majacuz,kidimbwi beach kwa sana,asubuhi aamshwe na supu ya kangaroo 🦘,mashuka meupe kwenye five 🌟 hotels,agonge mvinyo kwa sana na awe na chawa km mondi.. Km Hii miujiza ipo kanisani kwenu mcheki dm
Yapo machache, ingawa itamlazimu awe mtumwa; anafanyiwa mazingaombwe ya kukutana na watu wenye mafanikio na kumpa koneksheni, ila asipokuwa anatoa fungu la 10, anarudi kwenye hali yake ya zamani
 
Hapo utakuwa unataka kuliwa kimasihara kabisa unataka miujiza Ndio iondoe huo unaouita mkono wa mtu???
Habari Ndugu zangu wa Jf.

Nahisi kuna mkono wa mtu katika maisha yangu. Nijuzeni kanisa tajwa hapo juu nikapate maombi.

Sijawahi kula raha kama wengine wanavyo faidi maisha haya.

Natanguliza shukurani naomba muongozo.
 
S
Habari Ndugu zangu wa Jf.

Nahisi kuna mkono wa mtu katika maisha yangu. Nijuzeni kanisa tajwa hapo juu nikapate maombi.

Sijawahi kula raha kama wengine wanavyo faidi maisha haya.

Natanguliza shukurani naomba muongozo.
Samahani lakini kuna vitu viwili umetaja kwanz kula raha pili miujiza ... sasa nakuliza unataka kula raha au miujiza
 
ingawa inaonekana hauko serious mleta mada , lakini ukweli maisha hayana raha! hata hao unaodhani wana pata raha ni kinyume chake.

hata hivyo nakutakia ukutane na Mungu mfanya miujiza na wala kanisa, maana katika kanisa hakuna ukamilifu.
 
Habari Ndugu zangu wa Jf.

Nahisi kuna mkono wa mtu katika maisha yangu. Nijuzeni kanisa tajwa hapo juu nikapate maombi.

Sijawahi kula raha kama wengine wanavyo faidi maisha haya.

Natanguliza shukurani naomba muongozo.
Nenda kwa mapdre wa roma wao wana madre kabisa wenye hizo karma za kuvunja laana za ukoo, nenda kanisa lolote la roma mueleze padre shida yako utasaidiwa bure bila sent yano achana na miujiza ya kununua
 
Back
Top Bottom