Nguva Jike
JF-Expert Member
- Jan 22, 2018
- 1,267
- 1,819
Habari Ndugu zangu wa Jf.
Nahisi kuna mkono wa mtu katika maisha yangu. Nijuzeni kanisa tajwa hapo juu nikapate maombi.
Sijawahi kula raha kama wengine wanavyo faidi maisha haya.
Natanguliza shukurani naomba muongozo.
Nahisi kuna mkono wa mtu katika maisha yangu. Nijuzeni kanisa tajwa hapo juu nikapate maombi.
Sijawahi kula raha kama wengine wanavyo faidi maisha haya.
Natanguliza shukurani naomba muongozo.