ngebo kumbe inawezekana kuagza iphone direct kutoka aple kwa rejareja! Kupitia website ya apple au? Ofcoz bongo zmejaa ila wabongo weng ujanja mwing anakuambia k2 new kumbe kimetumika, na inakuwa ngumu kutofautisha, smtmz zingne fek. Mimi nataka mpya kabisa ikiwezekana iphone 11 pro max.. Nipe website ya kuagza