RAYAN THE DON
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 679
- 1,220
Habari wanabodi? Kama kichwa cha bandiko hili kisemavyo, nahitaji Iphone 6 plus. Bajeti yangu ni Tshs 400,000/=
Kama kuna mtu anajua chimbo linalouza simu za iPhone kwa huku Kariakoo naomba nifahamishwe wakuu.
Nawatakia wikendi njema na pia karibuni kwa michango.
Kama kuna mtu anajua chimbo linalouza simu za iPhone kwa huku Kariakoo naomba nifahamishwe wakuu.
Nawatakia wikendi njema na pia karibuni kwa michango.