Nahitaji iPhone 6 Plus

Nahitaji iPhone 6 Plus

RAYAN THE DON

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2019
Posts
679
Reaction score
1,220
Habari wanabodi? Kama kichwa cha bandiko hili kisemavyo, nahitaji Iphone 6 plus. Bajeti yangu ni Tshs 400,000/=

Kama kuna mtu anajua chimbo linalouza simu za iPhone kwa huku Kariakoo naomba nifahamishwe wakuu.

Nawatakia wikendi njema na pia karibuni kwa michango.
 
Habari wanabodi? kama kichwa cha badiko hili kisemavyo, nahitaji Iphone 6 plus.

Bajeti yangu ni Tshs 400,000/=

kama kuna mtu anajua chimbo linalouza simu za Iphone kwa huku K/KOO naomba nifahamishwe wakuu.

Nawatakia wikendi njema na pia Karibuni kwa michango.
Nipigie najua 0714074040
 
Skuizi aziitwi iphone 6 plus ni Tecno janja
Maana ata wauza chips waliokua wana dharauliwa wanazo, makonda wa daladala wanazo, mama ntilie wanazo so wengine wameenda far wanamiliki iphone 8 mpk x
 
Tecno ni takataka haistahili hata kuwekwa kundi moja na iphone 3GS
Skuizi aziitwi iphone 6 plus ni Tecno janja
Maana ata wauza chips waliokua wana dharauliwa wanazo, makonda wa daladala wanazo, mama ntilie wanazo so wengine wameenda far wanamiliki iphone 8 mpk x
 
Mimi ninayo yangu ina Iphone 6+ 16GB, Imefikisha Mwaka Tangia Niinunue, Ina Crack Kwenye Upande Wa Juu W SCreen Nauza 250k

Habari wanabodi? Kama kichwa cha bandiko hili kisemavyo, nahitaji Iphone 6 plus. Bajeti yangu ni Tshs 400,000/=

Kama kuna mtu anajua chimbo linalouza simu za iPhone kwa huku Kariakoo naomba nifahamishwe wakuu.

Nawatakia wikendi njema na pia karibuni kwa michango.
 
Back
Top Bottom