emmanuel1976
JF-Expert Member
- Jun 17, 2011
- 301
- 80
wakuu salaam,
Naomba kujuzwa ni maduka gani yanayouza vifaa hivyo vya ulinzi. Kifaa cha mkononi cha kukagua ikiwa mtu ana bunduki, vilipuzi, visu nk na bastola anapoingia ukumbini, hotelini ama kwenye nyumba za ibada.
Asanteni.
Naomba kujuzwa ni maduka gani yanayouza vifaa hivyo vya ulinzi. Kifaa cha mkononi cha kukagua ikiwa mtu ana bunduki, vilipuzi, visu nk na bastola anapoingia ukumbini, hotelini ama kwenye nyumba za ibada.
Asanteni.