Nahitaji gari ndogo

Nahitaji gari ndogo

gari utapata
Screenshot_2018-12-13-12-20-27.jpeg
 
mh utapata lakini uwefundi au uwe nagereji yako
 
Mimi ndo Mr Magari kutoka Zanzibar huwezi kupata kwa hiyo bei hata ukipata at least uwe na million 5 cash mpaka kwenye ardh ya makonda
 
Sawa....ngoja nizame zenji kwanza. Ikifail bas itabd nisubr
Wakati unakata tiketi ya Zanziberi ukumbuke pia kuwa kodi yalipiwa ulifikisha gari bandari hapo......
 
Zenji utapata japo nayo mmh...lakini mpaka utakapoifikisha hapa si chini ya M5 in total
Ndicho nilichomwambia pale juu kuwa gharama atayoingia katika kuileta gari kutoka zenji ni bora atafute nyenye afadhali hapa.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom