emback
JF-Expert Member
- Jan 3, 2013
- 444
- 373
ndugu watanzania mimi kipato changu ni cha chini sana lakini mahitaji gari kwa ajili ya kufanyia huduma mbalimbali....ambapo huduma kubwa ni kuhudumia wagonjwa mahospitalini kila jumamosi....tatizo limekuja pale ampapo usafiri uakuwa wa shida kila nnapohitaji kwenda kwenye huduma hi....lakini pia nnakuwa na mizigo mbalimbali am
bayo ni kama zawadi kwa wale nnaoenda kuwahudumia,...... kwa hiyo nnahitaji kwa mweye gari iwe ya kizamani kama vokswagen beetle, peogeut za bei ya chini sana lakini nzima anijulishe ili niangalie uwezekano wa kununua!
bayo ni kama zawadi kwa wale nnaoenda kuwahudumia,...... kwa hiyo nnahitaji kwa mweye gari iwe ya kizamani kama vokswagen beetle, peogeut za bei ya chini sana lakini nzima anijulishe ili niangalie uwezekano wa kununua!