Nahitaji gari aina ya ist.

Nahitaji gari aina ya ist.

Ntashukuru sana kakangu, dah. Undugu na udumu. Na nna mpango wa kuhama magomeni nihamie mikocheni walau bonde la mpunga. Nikipata gratuity tu nanunua na mtumbwi.
Usijali King'asti we dada yangu wa ukwehe tukutuku hapana ngoja nikupige japo na ka IST siwezi shindwa uweke heshima mjini, kugombea dala dala mchezo? na hivi Morogoro road imeharibika hadi ikamilike lini?
 
Unanunulia Number mkuu?nakupa angalizo,gari haiangalii number yaweza hata kuwa CZZ but ni bomu!gari inaangaliwa kwanza engine,then gear Box halafu body!sio registration number wala year of manufacture!pia kwa budget yako hii huwez pata hilo gari kaka labda liwe kimeo!!panda dau tufanye biashara!ukipenda nenda kwa PM.

Number ndio habari ya mjini kama ni " A ". Kuja kuiuza tena inakuwa issue unless other wise kama ana mpango wa kuzeeka nayo.....just advising sina nia ya kuharibu business.

DON'T HUNT WHAT YOU CAN NOT KILL.
 
Number ndio habari ya mjini kama ni " A ". Kuja kuiuza tena inakuwa issue unless other wise kama ana mpango wa kuzeeka nayo.....just advising sina nia ya kuharibu business.

DON'T HUNT WHAT YOU CAN NOT KILL.
msalimie lara 1
 
Last edited by a moderator:
Number ndio habari ya mjini kama ni " A ". Kuja kuiuza tena inakuwa issue unless other wise kama ana mpango wa kuzeeka nayo.....just advising sina nia ya kuharibu business.

DON'T HUNT WHAT YOU CAN NOT KILL.

kwa asiyejua gari number ndo habari ya maana...anayejua gari haangalii number hata siku moja...coz kinachoifanya hiyo gari itembee ni machine yake na si registration number. pia mji huu mbona number zinachakachulika tu, unadhan magari yote uyaonayo njian ni number zake?nyingine ni za Trekta, nyingine bodaboda but zipo kwenye gari...
 
Wadau mwenyekujua mtu anaeuza gari haina hiyo anijulishe.

Ndugu usihangaike na magari yaliyopigwa NYUNDO na mafundi wetu wa uswahilini...
Ingia hapa Toyota / IST - Japanese used cars exports and Japan car import / 2004 chagua unayoitaka, Lipa kwa PAYTRADE... Utatumia MAX 3000USD mpaka dar, ambayo ni mil 5 kasoro laki chache, Ikifika Utalipa Ushuru kama 3.2m Na gharama nyingine kama port charges, Agent na Shipping line zinaweza kufika kwenye laki5, Kwa Mil 8.7-9.5 Unapata Gari "MPYAAA".... Na Wewe baada ya mwaka Utawauzia watu wanaopenda haraka za kumiliki magari...
Uzuri Wa kuagiza ni kwamba, Hautoi pesa zote kwa mara moja. Kwa mfano hapo wewe umesema uko tayari kutoa 7m, Ukiagiza Japan Utalipa 5m kwanza, halafu baada ya kama wiki saba ndio utatoa hizo 4 na ushee zilizobakia.....Kwahiyo jipange utafute za ziada kama unaweza.. Nina uhakika hutojuta na maamuzi hayo...
gari imported mara nyingi huwa zinakaa zaidi ya miaka miwili ndio unaanza kuhangaika na vipuli.
 
nyi mnauza magari hamuweki picha bhanaaaaaaaaaaaaaaa
wekeni picha aiseeeeeeeeeeeee
 
Ipo 7m ila gari iwe katka standard na kama upo nalo karibu lipge picha afu nifanyie ktk whatsapp na liwe katika namba hiz za ivi karbuni mkuu.

Ist ipo namba za karibuni CDV. Lakini budget ya 7m ni ndogo sana. Ist kwa sasa ni gumzo la mjini na zinatafutwa kwani mafuta zinanusa mkuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom