Nahitaji gari aina ya ist.

Nahitaji gari aina ya ist.

Una kiasi gani?u go check it kwa any garage/fundi wako unayemuamini wewe ku-verify before hujanunua!(If u like)

Ipo 7m ila gari iwe katka standard na kama upo nalo karibu lipge picha afu nifanyie ktk whatsapp na liwe katika namba hiz za ivi karbuni mkuu.
 
Wadau mwenyekujua mtu anaeuza gari haina hiyo anijulishe.

7m inahusika mkuu, ila nifanyie picha mkuu kwanza b4 cjapoteza cost ya kufika mahali gari ilipo, katka inbox na iwe ya namba za ivi karbuni.
 
Ipo 7m ila gari iwe katka standard na kama upo nalo karibu lipge picha afu nifanyie ktk whatsapp na liwe katika namba hiz za ivi karbuni mkuu.
Kwa specifications zako, hiyo hela haitotosha!!
 
Karibu inbox nipe bei yako afu nichek ili 2fanye biashara ndugu.
Hii gari sina kwa sasa mkuu, but nlikua natoa tu angalizo maana hizi gari zipo kwenye chart now
 
Kaka naomba na moe unafanyie walau tuk tuk. Siku hizi daladala hamna kabisa tunangojea rapid busses. Plz broh

Boxer ndo mpango mzima hata kwa dili za fasta inahusika
 
Ipo 7m ila gari iwe katka standard na kama upo nalo karibu lipge picha afu nifanyie ktk whatsapp na liwe katika namba hiz za ivi karbuni mkuu.

Unanunulia Number mkuu?nakupa angalizo,gari haiangalii number yaweza hata kuwa CZZ but ni bomu!gari inaangaliwa kwanza engine,then gear Box halafu body!sio registration number wala year of manufacture!pia kwa budget yako hii huwez pata hilo gari kaka labda liwe kimeo!!panda dau tufanye biashara!ukipenda nenda kwa PM.
 
Hizi boxer zimejizolea umaarufu kwa hali ya juu sana na zina attandance nzuri katika matukio.
 
Hizi boxer zimejizolea umaarufu kwa hali ya juu sana na zina attandance nzuri katika matukio.

Zina balance na mchina hakamati ndo maana wanao jichukulia pesa zao wanazipenda kwa dili za fasta.
 
Unanunulia Number mkuu?nakupa angalizo,gari haiangalii number yaweza hata kuwa CZZ but ni bomu!gari inaangaliwa kwanza engine,then gear Box halafu body!sio registration number wala year of manufacture!pia kwa budget yako hii huwez pata hilo gari kaka labda liwe kimeo!!panda dau tufanye biashara!ukipenda nenda kwa PM.

Akhsante kwa ushauri mkuu ndugu.
 
Kaka naomba na moe unafanyie walau tuk tuk. Siku hizi daladala hamna kabisa tunangojea rapid busses. Plz broh

Usijali King'asti we dada yangu wa ukwehe tukutuku hapana ngoja nikupige japo na ka IST siwezi shindwa uweke heshima mjini, kugombea dala dala mchezo? na hivi Morogoro road imeharibika hadi ikamilike lini?
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom