Ramthods
JF-Expert Member
- Jun 2, 2009
- 515
- 187
Habari Wadau,
Kwa yeyote anayemfahamu fundi mzuri (kwa uzuri namaanisha anayejua kufanya finishing vizuri) wa makabati ya jikoni + makabati ya nguo, ntashukuru kama utaweka namba yake hapa, au ni PM.
Nyumba ipo Tangi Bovu, Dar es salaam.
Natanguliza shukrani
Kwa yeyote anayemfahamu fundi mzuri (kwa uzuri namaanisha anayejua kufanya finishing vizuri) wa makabati ya jikoni + makabati ya nguo, ntashukuru kama utaweka namba yake hapa, au ni PM.
Nyumba ipo Tangi Bovu, Dar es salaam.
Natanguliza shukrani