Nahitaji Fundi Bomba na Umeme

Nahitaji Fundi Bomba na Umeme

Ramthods

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2009
Posts
515
Reaction score
187
Wadau,

Natanguliza shukrani,

Kama una contact ya fundi bomba/umeme aliyekufanyia kazi vzuri, ningeshukuru kama ungenipatia.

Ahsante.

Ram
 
Wadau,

Natanguliza shukrani,

Kama una contact ya fundi bomba/umeme aliyekufanyia kazi vzuri, ningeshukuru kama ungenipatia.

Ahsante.

Ram

Yupo mmoja nimemwona akifanya kazi mahali fulani, yy ni plumber, ofisi yao iko Magomeni Dsm, kwa asili anatokea pande za kwenu. Na rafiki yake ni fundi umeme, nilichukua simu yake sababu nataka anifanyie kazi.
 
Mtafute, huyu Gudlack ni plumber mzuri anapatikana Arusha na Dar es salaam mara nyingi 0755239993
 
mtafute 0755477149 mr.macha ni fundi mzuri sana.anafanyia magereza kwa sasa yuko mbeya.mm kanifungia mpaka system ya solar heater
 
ukimkosa huyo m2mie huyu nae ni mzuri sana.wanafanya wote na huyo wa magereza 0714441625
 
Wadau,

Natanguliza shukrani,

Kama una contact ya fundi bomba/umeme aliyekufanyia kazi vzuri, ningeshukuru kama ungenipatia.

Ahsante.

Ram

Habari yako mkuu,mie ni fundi wa umeme napatikana ilala Dar-es-salaam,Whatsapp 0718-302132
 
jamani kiboko ya wote ni simon ngowi chini ya kampun ya nadhra construction jamaa amefanya mikoa kibao na sasa hivi yupo maeneo ya air port ndo anamalizia mradi wa kampun kesho. mchek kupitia 0714822109
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom