..........
mkuu funguka vizuri usaidiwe,Heshima zenu wakuu,nahitaji fuel/petrol station ya mtu binafsi kwa ajili ya kukodisha! Maeneo ni dar es salaam,isiwe ya kampuni kubwa kama oilcom gapco puma etc! Mengine waweza ni pm. Asanteni
kiongozi nimeku pm . nahangaikia suala lako kama tayari umepata nijulishe kwenye 0685 31 23 26
Nimeshakujibu check inbox yako
mkuu hii yenyewe ya kukodi fuel station imekaa kitapeli tapeli, wacha waingizane mikenge!mkuu huyu ni dalali kuwa nae makini saana.
mh! utapeli hapa uko wapi. katangaza kazi nimemjibu , acheni kudhalau kazi za wenginemkuu hii yenyewe ya kukodi fuel station imekaa kitapeli tapeli, wacha waingizane mikenge!