Nahitaji dawa za kurefusha uume

Nahitaji dawa za kurefusha uume

Salaam....Wakubwa Shikamooni... Na vijana wenzangu Habaei za wakati huu poleni na majukumu wote kwa Pamoja.

Naombeni msaada wa kujua au kupata mtaalam wa ukweli na uhakika. Naitaji Dawa ya kulefusha umbile langu Uume kufikia Nchi 7.

Kwani mimi nina kibamia yaani nina mshine yenye Nchi 4 naitaji niwe na mkuyenge Msaada wenu tafadhari kwa anayemjua mtaalamu wa kweli.

Ukiona ni soo kuongelea hapa basi unaweza kuja PM.

Natanguliza shukrani zangu za Dhat.

AHSANTENI SANA

Sent using Jamii Forums mobile app
Upo mji gani, kama upo Dar nenda mitaa ya Mawasiliano kuna masai mmoja analinda lodge moja iko uchochoroni hivi kama unaelekea Perfect School
 
Back
Top Bottom