Nahitaji Critical Thinking hapa tafadhali

1/3 ya two years ni mwaka mmoja na miezi minne ndio muda anaopaswa kutumikia Lulu gerezani kwa sheria za Magereza.
 
1/3 ya two years ni mwaka mmoja na miezi minne ndio muda anaopaswa kutumikia Lulu gerezani kwa sheria za Magereza.
So sio mbaya kama ni hvyo muda unazid kuwa mfupi kuliko kukata rufaa na kuanza tena kuliwazia swala moja at the same time huwez jua nn kitatoka kwenye hukumu ya rufaa pia
 
Kiufupi maamuzi ya hii kesi yaliitaji critical thinking na siyo vifungu vya Sheria full stop
 
Mkuu umeongea sana lakini kuua bila ya kukusudia ni kosa na kukifanya kitoto chini ya miaka 18 pia ni kosa, sasa bahati mbaya hukumu itakuja pale tu kosa la mwanzo litakalobainika.
Laiti kama marehemu asingekufa na kama ingebainika anakabaka haka kabinti basi angeshtakiwa yeye kwa ubakaji.

Kosa lililobainika ni binti kuua bila kukusudia na hivyo hukumu imehusisha kosa hilo.

Mwenye makosa na ahukumiwe lakini huwezi kumhukumu marehemu kwa vile ameshafariki na vile kosa lake halikubainika wakati bado yupo hai.

Binti hakusema kuwa alikuwa anabakwa na jamaa kwa vile alikuwa chini ya miaka 18 ila baada ya kukutikana na kosa la mauaji ndio tuseme kuwa jamaa alikuwa anakabaka eti ndio utetezi wake?

Mama wa marehemu furaha yake ni kuona vile sheria imechukua mkondo wake kwa vile ana uchungu na mwanawe na sidhani kama vile vile laiti kama mwanawe angekuwa hai na yeye angefurahia kusikia mwanawe anashtakiwa kwa kosa la ubakaji.

Mwenye makosa ya kuua bila kukusudia tumwache jamhuri imuhukumu na mwenye makosa ya ubakaji hakuwahi kupatikana na hatia ya ubakaji tumwache ahukumiwe na Mungu mwenyewe.
 

Nafurahi kuona kwamba siku hizi tunafanana sana Kimtizamo. Umenena vyema / sahihi kabisa.
 
Gentamycine mtu akiiba akafungwa ni sawa au kuna haja kumsamehe tu akiwa amemuibia mkristu?

Nimesema Ukristo hapo kwakuwa ndani ya Ukristo kuna kitu Kusamehe labda Wewe siyo Mkristo hivyo bichwa lako ni gumu kuelewa / kung'amua. Humu mitaani tunayaona mengi sana ambayo kama leo hii yote haya yangepelekwa huko Mahakamani basi Magereza ya Tanzania yangefurika ila tu Hekima ya Kidini hutumika na mambo humalizwa kwa Watu kusameheana, kupeana mikono na maisha yanaenda.
 
Niko upande wa Lulu.
Mahakama ya kichwa changu. Haijapata uthibitisho. Lulu anahusika vipi na kifo cha kanumba.
Angetumia zana yoyote. Mfano kisu, panga, nyundo n. K. Hapo ningesema sawa.
MAHAKAMA HAINA MAKOSA. hakuna wa kulaumiwa.
Ni sehemu ya maisha yetu.
OMBA YASIKUKUTE.
 
Mimi hili swala la huyu Mama nalichukulia tofauti na Wengi mlivyolichukulia,
Huyu Mama hata baada ya kifo Cha Mwanae kuna Movie fulani alicheza na huyu Binti, hivyo kiasi wana ukaribu fulani,
Hii hukumu ya Lulu kiasi fulani ina maoni kama matatu hivi tofauti.

1) Kuna ambao wanadhani kua kwa kosa alilolifanya huyu Binti, tukiweka Umaarufu wake pembeni basi alistahili Adhabu kali, labda hata zaidi ya Miaka 5 hivi na kuendelea. Wanadhani kwamba hata kesi kuangukia kwenye "Manslaughter" ni Upendeleo wa hali ya juu, lakini hapo angestahili Mvua kadhaa za nguvu. Kwamba pengine Umaarufu wake umem'beba akapata upendeleo lakini kosa alilolifanya ni kubwa. Miaka miwili aliyopewa ni michache sana.

2) Kundi au maoni ya pili ni wale ambao wanadhani huyu Binti hana kosa na hata Hukumu hii ni uonevu kwake, kwamba alikua mdogo kiumri na hata ushahidi kwamba aliua nao ni mgumu kuthibitisha maana hakuna aliewaona wakigombana nja hatujui nini kilitokea chumbani. Kundi hili linaamini hata hiyo miaka miwili ni mingi sana, Bint alitakiwa aachiwe tu huru aendelee zake na maisha yake.

3) kundi la mwisho linaamini kua Hukumu aliyoipata ni sawia kabisa na kilichotokea. Kundi hili (akiwemo jaji mtoa hukumu) linaamini kua miaka miwili kwa kilichotokea ni sawia kabisa, hajapendelewa mtu wala kuonewa.

Sasa basi mi nadhani hapa huyu Mama alidhani Lulu angeangukia kundi la kwanza, kwamba angefungwa miaka mingi kama wanavyofungwa wengine. Pengine Miaka miwili aliyohukumiwa ni ahuaeni kwa huyu Binti na ndio maana Mama Kanumba hata akafurahi kua Binti hatopata tabu sana kama ilivyokua ikidhaniwa awali. Pengine amefurahia Binti kuepuka adhabu kali, kwamba furaha yake ni kunyesha kua yuko pamoja na Binti na angalau kesi imeisha "salama" kwake kuliko angeangushiwa Mvua kuanzia 5 labda.

Nimewaza tu
 
Sasa hapa critical thinkers wa kazi gani wakati hata mm darasa la pili b naweza kujibu maswali yako yote

Niliposema Critical Thinking itumike hapa sikutaka huu ' upumbavu ' kama wako unaokusumbua badala yake nilitaka sasa Watu twende mbali zaidi na tufikirie kwa Kina kabisa na hasa nje ya box ili kuleta tafakuri pana yenye nadharia kubwa iliyojaa mantiki ambayo itaweza kusaidia hata kwa siku za baadae Watu kuwa makini na kutorudia Kosa. Kila siku huwa nawaambia ukiona GENTAMYCINE nimeanzisha uzi usiukurupukie Kwanza au ukadhani nimeandika tu ili mradi bali maandiko yangu mengi huwa yanamtaka Mtu aushirikishe vizuri Ubongo wake lakini kama Ubongo umejaa ' Kamasi ' na ' Kohozi ' kama ulionao huwezi kung'amua / kuelewa lolote.
 
Mbaya zaidi aliyemharibu huyu mtoto ni Kanumba, ona at this age huyu mbakaji alishakaanzia kukapiga brush.

Sijuwagi kama majaji wetu huwa wanajipa muda mzuri wa kufuatilia fact za back ground.

 
Sasa wewe mwenye bichwa zuri la kuelewa umeshindwa nini kujibu nilichokuuliza? Unambwela mbwela nini sasa, jibu swali mtu akimuibia mkristu na huyo mkristu akasamehe ni basi kesi inaisha?
 
Sasa wewe mwenye bichwa zuri la kuelewa umeshindwa nini kujibu nilichokuuliza? Unambwela mbwela nini sasa, jibu swali mtu akimuibia mkristu na huyo mkristu akasamehe ni basi kesi inaisha?
Wewe unapwaya sana kwenye hili jukwaa siyo size yako.

Zipo kesi nyingi tu zinaondolewa mahakamani na zinaenda kumalizwa nje ya mahakama.

Na hata zile kesi ambazo Jamhuri ndio mshtaki DPP ana mamlaka ya kuzifuta kama Manji alivyofutiwa kesi ya uhujumu uchumi na DPP.

Wacha kuropoka kwa vitu usivyovijuwa, siyo lazima ugande jukwaa hili unaweza kwenda hata jukwaa la mapishi ukajifunze kupika.
 
Heri yako wewe usiyepwaya kaka, ubarikiwe sana
 
Lulu na mama ake lulu hawakuwa na adabu hata kidigo kwa mama lkanumba. behind the scene walikuwa wakimdharau na kumtukana sn mama k...

Kwahiyo Lulu akitoka huko Gerezani Kanumba ndiyo atafufuka? Wenye Imani iliyoshiba wanasema siku zote Hekima silaha Kali mbele ya Chuki na Visasi.
 
Mkuu awali ya yote nakusalimu na kwa kuwa umehitaji kuliangalia tukio kwa Jicho Pana ebu tusaidiane Jambo kwa Pamoja..
Kwenye Paragraph yako ya kwanza umeeleza kuwa kama sheria zinagekuwa zinaruhusu kumshitaki na kumtia hatia maiti basi marehemu angepigwa mvua ya miaka 30 kwa kufanya ngono na mtogo ambaye alikuwa chini ya miaka 18.. Ok Kulingana na Sheria ya kubaka Je ili mtu awe na akutwe na hatia ya kumuingilia Mwenzie bila ridhaa yake mlalamikaji anatakiwa awe nani? Jamhuri , mtendewa au? Kama nilisikia vizuri toka tukio zima linaanza na utetezi wa kadada ketu kazuri nikuwa kwa kipindi kile tukio linatokea kalikuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi kwa takribni miezi minne?? Je kabla ya kuwa na mahusiano na Marehemu haka kadada kalikuwa na Mahusiano na Wanaume wangapi? Je ni Mtanzania gani aliyewahi kumkemea na kumzuia huyu mtoto na mahusiano katika umri mdogo kisi kile? Wote ni mashahidi ni mara ngapi huyu bidada alikuwa akihudhuria kumbi za starehe na kuvaa nusu uchi mbele za watu wasomi na wabobezi wa Sheria za ustawi wa jamii lakini hakuna aliyekemea Jambo hilo hadi leo..?

Pia labda ufafanuzi hii kesi nani aliyeifukunyua au ilikuwa kesi kati ya Mtuhumiwa / Mfungwa na Mama wa marehemu au ilikuwa Kati ya Mtuhumiwa na Jamhuri? Nani alikuwa mtetezi kwa upande wa Jamhuri? ni Mama wa marehemu au wakili wa serikali? kuna mahala ambapo Mama wa marehemu kwa namna moja ama nyingine ameonekana akitoa maelezo ya kilichomtokea Marehemu..

I think we should stop kuongeza chumvi na kukuza lawama ambazo hata hazina miguu zaidi ya kujenga chuki baina ya watu hao....
 

Kwahiyo kama hujajibu kama Great Thinker umejibu kama nani kati ya Popoma au Ngumbaru? Nasubiri kwa hamu sana jibu langu.
 
1/3 ya two years ni mwaka mmoja na miezi minne ndio muda anaopaswa kutumikia Lulu gerezani kwa sheria za Magereza.

' Kamarada ' Matola hii ' Kitu ' nasikia kwa sasa haipo tena na imeshafutwa hivyo ukipigwa ' mvua ' ya miaka miwili ni miaka mwili hiyo hiyo. Tafuta Watu wa Magereza watusaidie katika hili ila nami nilidokezwa na Mdau mmoja hivi wa masuala haya haya ya Kisheria sasa sijui aliniambia kweli au alinilisha tu tango pori lililotukuka.
 
Kwahiyo kama hujajibu kama Great Thinker umejibu kama nani kati ya Popoma au Ngumbaru? Nasubiri kwa hamu sana jibu langu.


Nimejibu kwa akili uliyotumia wewe kuita greater thinker sasa hapo wewe ndio utaweka kama ni popoma au Ngumbaru........... maana hata wewe maelezo yako sio ya great ni ya kundi hilo hilo la ngumbaru na popoma ova
 
Mbaya zaidi aliyemharibu huyu mtoto ni Kanumba, ona at this age huyu mbakaji alishakaanzia kukapiga brush.

Sijuwagi kama majaji wetu huwa wanajipa muda mzuri wa kufuatilia fact za back ground.

View attachment 630731View attachment 630733

Halafu Marehemu anaonekana alikuwa na ' Paipu ' hasa na kuna uwezekano pia kina cha ' Mbunye ' ya Lulu alikiongeza Yeye kama kwa kuichimba kwenda ' deep ' kama ambavyo sasa Mamlaka ya Bandari Tanzania na yenyewe pia inaongeza ' Kina ' cha Bandari ya Dar es Salaam. Angalia vizuri na taratibu sana hiyo picha ya juu kisha weka macho yako yote hapo katika center of gravity ya Kanumba ( Mkuyengeni ) halafu hilo ' Furushi ' lilivyojikusanya utadhani Wingu la Mvua ya Mafuruko Dar es Salaam. Marehemu alijaaliwa ' Kitu ' Mkuu.
 
Sasa wewe mwenye bichwa zuri la kuelewa umeshindwa nini kujibu nilichokuuliza? Unambwela mbwela nini sasa, jibu swali mtu akimuibia mkristu na huyo mkristu akasamehe ni basi kesi inaisha?

Ndiyo maana pamoja na kuwa na Kichwa Kikubwa kama Spika za Bendi ya Msondo Ngoma lakini bado umekuwa mzito kunielewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…