florence
JF-Expert Member
- Mar 5, 2011
- 423
- 161
Tafadhali nisaidienimwenzenu boyfriend wangu ambaye ndiye mchumba ameniacha bila sababu za msingi, nilimpenda sana na kibaya zaidi nimepata ajali ndo akaanza visa mpaka kuniacha. siwezi hata kula napata msongo wa mawazo mpaka kulala inakuwa tabu. Naombeni ushauri ambao utanisaidia nirudi katika hali ya kawaida nateseka sana kisaikolojia. Natanguliza shukrani kwa ushauri mtakaonipatia