LaRosa
JF-Expert Member
- Jul 3, 2020
- 952
- 2,875
Habari!
Nahitaji PC kwa ajili ya kufanyia video editing. Hivyo nahitaji at least powerful PC kwa ajili ya hiyo tasks.
Ikiwa na RAM above 6 sawa.
SDD itapendeza ila HDD haidhurupia.
Processor ya kiume
E.t.c
Budget yangu sio kubwa saana though nimeona nitangaze you never know Kuna my alinununua ndege mnada wa serikali kwa laki 5.
Budget yangu 360,000/=
Cc Chief-Mkwawa
Nahitaji PC kwa ajili ya kufanyia video editing. Hivyo nahitaji at least powerful PC kwa ajili ya hiyo tasks.
Ikiwa na RAM above 6 sawa.
SDD itapendeza ila HDD haidhurupia.
Processor ya kiume
E.t.c
Budget yangu sio kubwa saana though nimeona nitangaze you never know Kuna my alinununua ndege mnada wa serikali kwa laki 5.
Budget yangu 360,000/=
Cc Chief-Mkwawa