unacheka unamana gani
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 483
- 470
Salamu wanajamvi, nahitaji charger ya laptop hp 630, kichwa kipana. Kwa anayeuza aseme katika comment au aje inbox.
Natanguliza shukrani za dhati.
Natanguliza shukrani za dhati.
Charger tu Tangazo* siku unanunua gari si ndo utatembea uchi?Salamu wanajamvi, nahitaji charger ya laptop hp 630, kichwa kipana. Kwa anayeuza aseme katika comment au aje inbox.
Natanguliza shukrani za dhati.
Gari ni issue ndogo sana, sema private jet au yatchCharger tu Tangazo* siku unanunua gari si ndo utatembea uchi?
Mkuu nahitaji nahitaji used. Upo Songea?Una elfu 50???
DarMkuu nahitaji nahitaji used. Upo Songea?