Nahitaji Carina TI au SI

Nahitaji Carina TI au SI

Ibrahim K. Chiki

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2011
Posts
594
Reaction score
163
Wadau,

Habari za humu ndani wakuu. Binafsi nnatafuta gari ya kununua aina ya Carina TI aua Carina SI iwe yenye No C.. Na kuendelea. Kwa bajeti ya Sh Milion 7 hadi 7.5. Iwe kwenye hali nzuri.

Kwa mwenye nayo plz ni pm or just give me a call tufanye biashara.

Contacts:
Cell= +255 652 590 519
Email= chikidsm@gmail.com
 
0715591141 ilikuwepo carina si #C ,unaweza nipigia tuKazungumza zaidi...kwangu utapata gari tu unalolitaka.
Karibu
 
0715591141 ilikuwepo carina si #C ,unaweza nipigia tuKazungumza zaidi...kwangu utapata gari tu unalolitaka.
Karibu

Kiongozi nataka T.I my road ila mpya show room ngapi na kuagiza ngapi?kwa bei ya sasa
 
Prakatumba mnahitaji hizo gari mnione prvt kuna jamaa anazo
 
Wadau,

Habari za humu ndani wakuu. Binafsi nnatafuta gari ya kununua aina ya Carina TI aua Carina SI iwe yenye No C.. Na kuendelea. Kwa bajeti ya Sh Milion 7 hadi 7.5. Iwe kwenye hali nzuri.

Kwa mwenye nayo plz ni pm or just give me a call tufanye biashara.

Contacts:
Cell= +255 652 590 519
Email= chikidsm@gmail.com

uko serious unataka tufanye biashara ?
 
Back
Top Bottom