Nahitaji busara za Mshana jr na Faizafoxy

Nahitaji busara za Mshana jr na Faizafoxy

Kijana kijana

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2018
Posts
2,546
Reaction score
2,624
Wakuu huu ni uzi maalumu kwa hawa wakongwe wawili ambao nimekuwa nikifatilia maandiko yao.ni

Mshana Jr na FaizaFoxy.

Leo naomba wanishauri katika mambo yafuatayo na watoe maneno yao ambayo yanawafanya wawe ni watu wenye kuheshimiwa.

Naomba ushauri kwenye mambo haya hapa.

1.jee naweza kuachana na siasa nikafanya mambo yangu yakaenda pasi na kuwa na chama chochote yaani nikaachana na siasa moja kwa moja?
Je inawezekana kwa tanzania ya leo?

2. Je kuna uwezekano wa mtu mchawi kujigeuza paka au mbwa au kitu kingine mbali na binadamu?
Je upo uwezekano huo?


3.je inawezekana kwangu kumuacha mwanamke kwa sababu ya ujeuri wake na kutokuwa na maelewano mazuri na mama yangu mzazi?

Wakubwa zangu wawili nahitaji busara zenu kwa upana kabisa mdadavue. Huu uzi ni kwa ajili yenu.

Heshima kwenu wakuu.
 
Back
Top Bottom