Ngosha36
New Member
- Dec 4, 2024
- 1
- 0
Habari za usiku wapendwa me kijana wa miaka 26
Nmesoma mambo ya udereva Nina class A, A2, B, D, E
Elim yangu Kidato Cha 4
Uzoefu wa miaka 5
Pia nmefanya kazi kampuni tofaut tofaut pia vyeti vya utumish ninavyo
Nahitaji kampunii au taasisi au kiongozi kikubwa mkono uende kinywanii napatikana mwanza
0793588043 ahsantenii sana
Nmesoma mambo ya udereva Nina class A, A2, B, D, E
Elim yangu Kidato Cha 4
Uzoefu wa miaka 5
Pia nmefanya kazi kampuni tofaut tofaut pia vyeti vya utumish ninavyo
Nahitaji kampunii au taasisi au kiongozi kikubwa mkono uende kinywanii napatikana mwanza
0793588043 ahsantenii sana