Kasome koz fupi pale ucc, mbona unajiendekeza. Hivi haya maswala ya kununua cheti hayajapotea tu tz! Duuu
Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
Hapo ulipo umefanya vitu illegal vingap?? Je unafaham kua kuishi tu nchi ambayo sio yako ni illegal?? Sasa je unakitambulisho cha nchi yetu??
Passport ulitengeneza sh ngap mpaka kukamilika?